Waislamu Tanzania watakiwa kukithirisha ibada mwezi huu wa Ramadhani
May 30, 2017 12:31 UTC
Waislamu Tanzania watakiwa kukithirisha ibada mwezi huu wa Ramadhani na hata baada ya funga.
Ikiwa Waislamu nchini Tanzania wameungana na wenzao duniani kote kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani, waumini hao wametakiwa kutekeleza nguzo hiyo muhimu kikamilifu kwa kuhakikisha wanajiepusha na matendo maovu yasiyompendezea Mola wao katika kipindi hiki cha funga na hata baada ya funga.
Taarifa zaidi na Omar Manji akiripoti kutoka Dar es Salaam......