Chama cha CUF Tanzania chawakumbuka wanachama wake waliouawa 2001 + Sauti
Jan 27, 2018 04:39 UTC
Chama cha Wananchi CUF nchini Tanzania kinapeperusha bendera nusu mlingoti kuwakumbuka wanachama wake waliouawa katika maandamano ya mwaka 2001 walipokuwa wanalalamikia kuporwa ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huo, visiwani Zanzibar. Maelezo kamili na mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit.
Tags