Serikali ya CAR yakata njia zote za mawasiliano ya simu + Sauti
Apr 15, 2018 01:58 UTC
Mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui umeingia katika giza totoro kufuatia serikali kukata njia zote za mawasiliano kutokana na hali mbaya ya usalama. Mwandishi wetu Mosi Mwasi ametuandalia ripoti maalumu kuhusu habari hiyo...
Tags