-
Chokochoko mpya za Marekani dhidi ya Syria
Jun 30, 2017 09:03Sambamba na kuanza mchezo mpya wa White House dhidi ya Syria, vyombo vya habari vya nchi hiyo vimetangaza habari ya ndege za kivita za Marekani kushambulia mji wa Deir ez-Zor mashariki mwa nchi hiyo ambapo zimeua makumi ya wanawake na watoto katika eneo hilo.
-
SAUTI, Michel Kafando: Nimefurahishwa na hatua ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kunikubali kuwa msuluhishi
Jun 29, 2017 12:48Michel Kafando, Mjumbe mpya wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi, amefanya ziara mjini Bujumbura kwa ajili ya kukutana kwa mara ya kwanza na viongozi wa nchi hiyo.
-
Video ya kwanza kabisa ya msikiti wa al Nuri wa Iraq baada ya kufurushwa magaidi wa Daesh
Jun 29, 2017 12:42Televisheni ya al Sumaria ya Iraq imerusha hewani ripoti ya mwandishi wake aliyekuwa amefuatana na vikosi vya ulinzi vya Iraq katika ukombozi wa ngome ya mwisho ya magaidi wa Daesh (ISIS) mjini Mosul, Iraq.
-
Video: Daesh wasambaratishwa kikamilifu Iraq, ndoto ya ISIS yayeyuka
Jun 29, 2017 10:52Waziri Mkuu wa Iraq, Haidar al Abadi ametangaza kusambaratishwa dola la uongo la Daesh nchini humo, baada ya vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo kwa kushirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi kukomboa maeneo yote ya Mosul, makao makuu ya mkoa wa Nainawa. Tangazo hilo la Waziri Mkuu wa Iraq limekuja baada ya vikosi vya nchi kuukomboa msikiti mkuu na mkongwe wa al Nuri, katikati ya mji wa Mosul.
-
SAUTI, Makaburi mengine 10 ya halaiki yagunduliwa mkoa wa Kasai Kongo DR, serikali yanyoshewa kidole cha lawama
Jun 27, 2017 11:38Mwanasheria Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pier Numbi ametangaza habari ya kupatikana makaburi mengine 10 ya halaiki katika mkoa wa Kasai nchi humo.
-
Kuaminiana pande mbili; sharti la kufanikiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran na Magharibi
Jun 24, 2017 23:28Ali Akbar Salehi Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran ameandika katika makala iliyochapishwa kwenye gazeti la The Guardian la nchini Uingereza kwamba, kufanikiwa makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi za Magharibi kunategemea ushirikiano na kiwango cha kuaminiana kati ya pande hizo na kwamba si kupitia siasa za kuvuruga mambo zinazofuatiliwa hivi sasa.
-
Siku ya Quds, dhihirisho la uwezo mkubwa wa Uislamu dhidi ya njama za Kizayuni
Jun 23, 2017 23:39Siku ya Kimataifa ya mwaka huu imekuwa na umuhimu maalum kwa sababu mfumo wa ubeberu unaoongozwa na Marekani kwa ushirikiano wa baadhi ya nchi za kidikteta za Kiarabu na utawala ghasibu wa Israel umekuwa ukijaribu sana kulisahaulisha suala la Palestina na Quds Tukufu katika ngazi za kieneo na kimataifa.
-
SAUTI, Wanachama wa CUF wanaomuunga mkono Profesa Lipumba wamefurahishwa na ufutaji kesi wa jana
Jun 22, 2017 11:46Wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF wanaomuunga mkono Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa zamani wa chama aliyevuliwa nafasi hiyo na katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Hamad, wameonyesha kufurahishwa na uamuzi wa kufuta kesi zote uliofanywa jana.
-
Video na picha mbalimbali za matukio ya mazishi ya Nabra Hassanen aliyeuawa na kijana mwenye chuki za kidini
Jun 22, 2017 10:20Hali ya masikitiko na majonzi yameonekana kutawala mioyo ya maelfu ya Waislamu na wasio Waislamu nchini Marekani tangu kulipotokea mauaji ya binti wa Kiislamu aliyeuawa na kijana mwenye chuki dhidi ya dini ya Uislamu katika jimbo la Virginia nchini humo.
-
Kiongozi Muadhamu: Siku ya Quds; nembo ya mapambano dhidi ya uistikari na mabeberu
Jun 22, 2017 09:06Akizungumza hapo siku ya Jumatano alasiri na wahadhiri, wanachama wa majopo ya kielimu, watafiti na wasomi wa vyuo vikuu, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria nafasi muhimu na isiyo na mbadala ya wahadhiri katika malezi ya wanachuo na kuainisha muelekeo wa Iran katika ulimwengu wa leo uliojaa matukio na kusema kuwa Siku ya Kimataifa ya Quds ina umuhimu mkubwa.