-
SAUTI, Tanzania yajifunza kwa Uganda namna ya usajili wa ardhi kidijitali, yapania kumaliza matatizo ya ardhi
Apr 07, 2018 12:13Maafisa wa Wizara ya Ardhi nchini Tanzania wanaendelea kujifundisha namna ya usajili wa ardhi kwa njia ya kidijitali (tarakimu) kwa ajili ya kumaliza matatizo ya ardhi nchini kwao.
-
Rais John Magufuli: Polisi Tanzania hawakuajiriwa kufyeka mashamba ya bangi (sauti)
Apr 07, 2018 11:52Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, hakuna kitu kinachomkera kama askari polisi kwenda kufyeka mashamba ya bangi yaliyokamatwa na polisi hao akisisitiza kwamba polisi hawakuajiriwa kwa ajili ya kazi hiyo.
-
SAUTI, Maalim Seif: Amri ya uhamiaji Tanzania ya kuwapangia Watanzania mahala pa kusafiria kuelekea nje inashangaza
Apr 02, 2018 12:15Katibu Mkuu wa Chama Cha Wanachi (CUF), Maalif Seif Sharif Hamad, ameonyesha kushangazwa na amri ya idara ya uhamiaji Tanzania Bara, kutowaruhusu Watanzania waliochukulia pasipoti upande huo (bara) kusafiria kutokea Zanzibar kuelekea nchi nyingine.
-
SAUTI, Wafuasi wa dini ya Binti Zebiya na raia wa Burundi, warejeshwa makwao kutoka Rwanda, wakiwa na lawama
Apr 02, 2018 10:43Raia wa Burundi zaidi ya 1600 waliokuwa wakiishi kwa muda nchini Rwanda wamerejea nchini Burundi huku wakiwa na malalamiko mbalimbali dhidi ya maafisa usalama wa Rwanda.
-
Wadau kufanya utafiti kuhusu matumizi ya Kiswahili Afrika Mashariki + Sauti
Mar 31, 2018 23:46Hayo yamebainika katika Kongamano la Kiswahili mjini Arusha, Tanzania
-
Nairuzi katika picha
Mar 31, 2018 10:10Nairuzi ni sherehe za kale na za muda mrefu ambazo matawi yake yameenea katika kona mbalimbali za dunia hadi Afrika Mashariki.
-
Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti
Mar 31, 2018 01:31Hii hapa ni ripoti ya mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya Kiislamu yaliyojiri katika kipindi cha juma moja iliyotayarishwa na mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit.
-
Rais Yoweri Museveni alalamikia itikadi mbovu za kikabila barani Afrika + Sauti
Mar 28, 2018 13:57Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kuwa matatizo mengi yanayoliathiri bara la Afrika yanasababishwa na itikadi mbovu kama ubaguzi wa kikabila. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail ametuandalia taarifa ifuatayo.
-
Watanzania waitaka serikali kuondoa hofu ya kuwepo hoja ya uchochezi + Sauti
Mar 26, 2018 05:16Watanzania wameitaka serikali ya nchi yao kuendelea na mikakati ya kuboresha zaidi uhuru wa kujielewa wananchi wake na kuweka mazingira ya kukosolewa na kupongezwa katika masuala muhimu kwa mustakbali wa taifa na kusonga mbele zaidi kimaendeleo.
-
Uganda, Rwanda zaitaka UN kutatua migogoro ya DRC na S/Kusini + Sauti
Mar 26, 2018 05:07Marais wa Rwanda na Uganda wameuhimiza Umoja wa Mataifa kuchukua hatu za kukomesha migogoro ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Sudan Kusini. Mwandishi wetu wa Kampala ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...