-
Mwito wa Unicef kwa Wizara ya Afya ya Ugada + Sauti
Mar 20, 2018 03:03Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeitaka Wizara ya Afya ya Uganda kuishinikiza Hazina ya Taifa ya nchi hiyo ii itoea fedha kunusuru akina mama nchini humo. Mwandishi wa Radio Tehran, Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu mwito huo...
-
ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini nchini Tanzania yametelekezwa na serikali
Mar 18, 2018 13:21Aidha chama hicho kimeitaka serikali kuruhusu wananchi wafanye maandamano ya amani
-
Watu saba wapoteza maisha kwa kuporomoka mlima Burundi + Sauti
Mar 17, 2018 03:21Watu saba wameripotiwa kupoteza maisha kufuatia kuporomoka mlima kando na mto Gasenyi, karibu na kunakojengwa Ikulu ya Rais.
-
Bunge Uganda laakhirisha vikao, kisa... + Sauti
Mar 17, 2018 03:15Nauibu Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Bolanya ameakhirisha vikao vya bunge hilo baada ya wizara ya afya kushindwa kutoa maelezo ya kukinaisha kuhusu ugonjwa hatari uliolikumba eneo la kaskazini nchi hiyo. Kigozi Ismail na ripoti kamili...
-
Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti
Mar 17, 2018 02:57Kama ilivyo ada, matukio ya Kiislamu ukanda wa Afrika Mashariki wiki hii pia ni mengi. Mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit amekusanya baadhi yake na kuandalia ripoti maalumu ...
-
SAUTI, Mamlaka ya kusimamia madawa Uganda yaendelea kunasa madawa bandia katika hospitali na maduka ya madawa
Mar 15, 2018 13:13Taasisi ya kudhibiti madawa nchini Uganda imeendelea kukamata madawa ambayo yamekuwa yakiuzwa katika vituo mbalimbali vya afya nchini humo.
-
SAUTI. Waislamu nchini Rwanda wapinga vikali hatua ya serikali kupiga marufuku adhana, wasema ni njama za kufunga misikiti
Mar 15, 2018 13:10Kwa mara nyingine tena Rwanda imepiga marufuku ya matumizi ya dhana kwenye misikiti ya Waislamu nchini humo.
-
SAUTI. Tanzania yaendelea kutoa indhari kuzuia maandamano tarajiwa, polisi nayo yasema asiyejua kifo aangalie kaburi
Mar 15, 2018 13:06Raia wa Tanzania wameendelea kupewa indhari na serikali ya nchi hiyo ya kutojihusisha na maandamano yanayopangwa kufanyika mwezi April mwaka huu.
-
Juhudi za kutaka kukomboa wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria
Mar 14, 2018 23:56Serikali ya Nigeria ina nia ya kuanza mazungumzo na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jitihada za kutaka kuwakomboa wasichana 111 waliotekwa nyara hivi karibuni na kundi hilo.
-
Juhudi za kuimarisha sekta ya habari barani Afrika + Sauti
Mar 13, 2018 03:10Wadau wa sekta ya habari barani Afrika wamesema kwamba wakati umefikwa kwa vyombo vya habari vya bara hilo kushirikiana ili kuweza kujikwambua kutokana na habari potofu zinazoharibu mustakbali wa Afrika.