-
Rais Pezeshkian kuhudhuria mazishi ya Ayatullah Khamenei nchini Iraq
Jul 07, 2026 09:43Rais Masoud Pezeshkian wa Iran alitarajiwa kusafiri kwenda Iraq leo Jumanne kuhudhuria shughuli ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, iliyopangwa kufanyika katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala kesho Jumatano.
-
Spika wa Bunge la Iran: Wauaji wa mashahidi wa nchi hii watapata malipo ya uhalifu wao
Jul 07, 2026 09:39Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wauaji wa mashahidi wa nchi hii watawajibishwa na watapata adhabu inayostahili kwa matendo yao.
-
Wairaqi wasubiri kwa hamu kupokea mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jul 07, 2026 04:34Wakati ukikaribia kwa ajili ya kufanyika mazishi ya mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika miji ya Najaf Ashraf na Karbala Mualla, Iraq inashuhudia maandalizi makubwa yasiyokuwa ya kawaida yanayohusisha serikali, wananchi, viongozi wa makabila, vikosi vya usalama na taasisi za huduma.
-
‘Zungumza kwa heshima, Bw. Trump; la sivyo Wairani watajibu kwa lugha tofauti’: Mkuu wa usalama Iran amwambia Trump
Jul 07, 2026 03:30Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Iran (SNSC), Mohammad Baqer Zolqadr, ametoa jibu madhubuti kwa vitisho vya hivi karibuni vya Rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya taifa la Iran, akisisitiza kwamba Tehran haitavumilia lugha isiyo na heshima na itajibu ipasavyo ikiwa italazimu.
-
Tehran katika Maombolezo na Hamasa: Msafara wa Mazishi wa Mamilioni ya Watu kwa ajili ya Kiongozi Shujaa, Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jul 06, 2026 17:20Msafara mkubwa usio na mfano wake wa mazishi adhimu na ya kihistoria ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu yamefanyika Jumatatu Tehran mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mamilioni wafurika Tehran kwa mazishi ya kihistoria ya Kiongozi Muadhamu aliyeuawa Shahidi
Jul 06, 2026 05:59Umati wa waombolezaji umefurika barabarani katika mji mkuu wa Iran huku msafara wa mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, yakianza. Tukio hili linaelezwa na maafisa kama mkusanyiko mkubwa zaidi wa umma kuwahi kushuhudiwa katika historia.
-
Mkuu wa Jeshi: Iran haitachoka kuwafuatilia waliomuua Kiongozi wetu
Jul 06, 2026 03:50Iran haitawahi kuacha azma yake ya kutafuta haki na kulipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Ali Khamenei (Mwenyezi Mungu amrehemu), zaidi ya miezi minne tangu alipouawa shahidi katika mashambulizi ya kigaidi ya Marekani na Israel.
-
Jihad Islami: Nguvu ya Muqawama inatokana na kujitolea Kiongozi Shahidi
Jul 06, 2026 03:42Msemaji wa harakati ya Muqawama ya Jihad Islami ya Palestina amesisitiza kuhusu “matamanio matukufu” ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, akisema kuwa nguvu ya Mhimili wa Muqawama inatokana na kujitolea kwake maishani.
-
Pezeshkian: Kufa shahidi Ayatullah Khamenei kumetoa msukumo kwa Waislamu kudumisha umoja
Jul 05, 2026 11:15Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu hayati Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, na kuuawa kwake shahidi, vimewapa Waislamu kote duniani hamasa katika harakati zao za kudumisha umoja na mshikamano.
-
Maafisa wa muqawama wafanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran pambizoni mwa mazishi ya Kiongozi Shahidi Khamenei
Jul 05, 2026 11:10Maafisa kutoka harakati ya muqawama wamekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi, na kuwasilisha salamu za rambirambi kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika mashambulizi ya kigaidi a Marekani na Israel dhidi ya Iran Februari 28 mwaka huu.