-
Mpango wa nyuklia wa Iran, ajenda ya mazungumzo ya pande nne za Iran, China, Russia na Mkuu wa IAEA
Apr 24, 2025 23:44Wawakilishi wa Iran, China na Russia wamekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA na kujadili hali ya mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yaonya; Israel inataka 'kuvuruga diplomasia' kupitia hujuma, mauaji ya kigaidi
Apr 24, 2025 07:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi fulani yenye maslahi maalumu huenda yakajaribu "kuvuruga diplomasia" kupitia vitendo vya hujuma na mauaji ya kigaidi wakati huu ambapo Jamhuri ya Kiislamu na Marekani zinafanya mazungumzo ya kufikia makubaliano kuhusu shughuli za nyuklia za taifa hili.
-
"Msimamo wa ujasiri wa Papa Francis dhidi ya dhulma hautasahaulika"
Apr 24, 2025 07:08Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Masuala ya Kisiasa wa Iran amesema, mchango wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani aliyeaga dunia hivi karibuni, Papa Francis ambaye daima alikuwa mstari wa mbele kusaidia wanyonge na wahanga wa unyanyasaji na ukatili, na vile vile misimamo yake ya kijasiri dhidi ya ukandamizaji, dhulma, ubaguzi na unyanyasaji kamwe haitasahaulika.
-
China yaitaka Marekani iwe "mkweli" katika mazungumzo na Iran
Apr 24, 2025 03:59Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya China ameitaka Marekani kuwa na ukweli wa kisiasa katika mazungumzo yake na Iran.
-
Iran: Vikwazo vipya ni ishara ya 'kutokuwa na nia njema' Marekani katika mazungumzo
Apr 24, 2025 00:44Iran imelaani vikali vikwazo vipya vya "haramu" ilivyowekewa na Marekani ikisisitiza kuwa vinakinzana na madai ya Washington ya kuwa na nia ya dhati ya kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu
-
Uzinduzi wa Mafunzo ya Akili Mnemba kwa wanafunzi milioni moja Iran
Apr 23, 2025 07:31Msaidizi wa Naibu wa Rais wa Iran katika Masuala ya Sayansi ametangaza rasmi uzinduzi wa mpango wa kufundisha Akili Mnemba (Artificial Intelligence) kwa wanafunzi milioni moja nchini humo.
-
Umuhimu wa ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini China
Apr 23, 2025 06:33Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amewasili Beijing leo (Jumatano), Aprili 23, kwa ajili ya kukutana na kufanya mashauriano na viongozi wa China.
-
Araghchi: China na Russia ni washirika wa kimkakati wa Iran
Apr 23, 2025 04:11Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mara baada ya kuwasili nchini China kwamba, madhumuni ya ziara hiyo ni kuwasilisha ujumbe wa Rais wa Iran kwa maafisa wa China.
-
Baghaei: Russia ina mchango athirifu katika mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
Apr 22, 2025 22:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Russia ina nafasi na mchango athirifu katika kushughulikia faili la nyuklia la Iran.
-
IRGC yatoa onyo kwa maadui kwamba iko kwenye 'kilele cha utayari wa pande zote' wa kijeshi
Apr 22, 2025 07:44Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limetoa tamko kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa 46 wa kuasisiwa kwake kwamba liko kwenye utayari wa kiwango cha juu kabisa cha utekelezaji operesheni za kjeshi, likisisitizia dhamira yake isiyotetereka ya kuilinda Jamhuri ya Kiislamu na kukabiliana na adui yeyote.