-
Iran yalaani jinai na uvamizi wa mfululizo wa Israel dhidi ya Syria
Dec 10, 2024 03:03Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali uvamizi na mashambulizi ya mara kwa mara wa utawala wa Kizayuni dhidi ya miundombinu ya Syria ambapo Israel imeteka na kukalia kwa mabavu maeneo mengine ya Syria katika kipindi cha siku chache zilizopita.
-
Iran itajibu hatua za uhasama katika sekta ya nyuklia
Dec 10, 2024 01:02Iran imesisitiza kuwa haitasita kujibu hatua za uhasama zinazolenga mpango wake wa nishati ya nyuklia, lakini bado iko tayari kuendelea na ushirikiano na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Spika Qalibaf: Iran itaheshimu uamuzi wowote utakaochukuliwa na watu wa Syria
Dec 09, 2024 23:19Spika wa Bunge la Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu inaheshimu uamuzi wowote utakaochukuliwa na wananchi wa Syria na itaendelea kufuatilia mienendo na sera zake.
-
Baqaei: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha mauaji ya kimbari ya miaka mia moja huko Palestina
Dec 09, 2024 09:51Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ameeleza kuwa, utawala ghasibu wa Israel unatumia vibaya hali ya sasa ya Syria ili kuzidisha mauaji ya kimbari huko Gaza na kusema: Jamii ya kimataifa inapapwa kusimama kidete kutetea ubinadamu na kukomesha mauaji ya kimbari ya miaka mia moja yanayoendelea huko Palestina.
-
Stratijia ya kieneo ya Iran, umuhimu wa kuzingatiwa matakwa ya watu wa Syria
Dec 09, 2024 07:07Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasisitiza juu ya umuhimu wa kuzingatiwa matakwa ya wananchi wa Syria katika mtazamo wake wa kidiplomasia kwa msingi wa matukio yanayojiri hivi sasa katika eneo.
-
Rais Pezeshkian: Mazungumzo kati ya Wasyria wote ni muhimu ili kufikia muafaka
Dec 09, 2024 04:39Rais wa Iran Masoud Pezeshkian anasema kuwa makundi yanayopingana nchini Syria yanapaswa kufungua mazungumzo ili kufikia makubaliano kuhusu uongozi wa kisiasa wa nchi hiyo baada ya wanamgambo kuchukua udhibiti wa Damascus.
-
Araghchi: Ilishangaza namna Jeshi la Syria lilishindwa kukabiliana na wanamgambo
Dec 09, 2024 04:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu ilikuwa imeifahamisha serikali ya Syria kuhusu mashambulio yaliyokuwa yakipangwa na wanamgambo kabla hayajaanza. Ameongeza kuwa imeshangaza jinsi Jeshi la Syria lilipoteza uwezo wa kukabiliana na mashambulizi hayo yaliyokuwa na kasi kubwa.
-
Kikao cha Tehran: Nchi zinazosafirisha gesi kwa wingi duniani zasisitiza umoja
Dec 09, 2024 04:37Washiriki katika mkutano wa ishirini na sita wa nchi zinazozalisha gesi kwa wingi duniani wamemaliza kikao cha Tehran kwa kutoa tamko kuhusu umuhimu wa umoja na mshikamano kati ya nchi wanachama.
-
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu matukio ya Syria
Dec 09, 2024 00:15Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imesisitiza kuwa, kuainishwa hatima na kufanya maamuzi kuhusu mustakbali wa Syria ni jukumu la pekee la wananchi wa nchi hiyo bila ya uingiliaji haribifu wala kulazimishwa na mataifa ya kigeni.
-
Iran: Mpango wa amani wa nyuklia wa Iran uko uwazi na chini ya usimamizi wa IAEA
Dec 08, 2024 04:33Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, mradi wa amani wa nyuklia wa Iran uko wazi na unafanyika chini ya usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).