-
Araghchi: Kuuawa Mujahidina wa Njia ya Haki hakutavunja Kambi ya Muqawama
Oct 18, 2024 11:47Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imetoa salamu za rambirambi kufuatia mauaji ya Yahya Sinwar, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Hamas.
-
Waziri wa Jihadi ya Kilimo wa Iran: Ushirikiano wa kilimo, petrokemikali na utalii kati ya Iran na Tanzania utaendelezwa
Oct 18, 2024 10:34Waziri wa Jihad ya Kilimo wa Iran ametangaza kuwa ushirikiano kati ya Iran na Tanzania utaendelezwa katika nyanja za kilimo, petrokemikali na utalii.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Israel imekwisha kimkakati
Oct 18, 2024 09:29Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeshindwa na kuangamizwa kistratijia.
-
Spika wa Bunge la Iran: Palestina ni suala la kwanza la dunia nzima
Oct 18, 2024 04:31Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa baraka za damu za mashahidi Palestina ni suala la kwanza la dunia nzima
-
Iran na Misri zajadili masuala ya kikanda na kimataifa
Oct 17, 2024 23:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Misri Abdel Fattah el-Sisi; ambapo wamejadili masuala muhimu ya kikanda na uhusiano wa pande mbili.
-
Cairo, hatua ya nane ya safari ya kieneo ya Araghchi
Oct 17, 2024 23:20Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Cairo, mji mkuu wa Misri, katika kituo cha nane cha safari yake ya kieneo ambapo amekutana na kuzungumza na rais na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa nchi hiyo.
-
Meja Jenerali Salami: Wazayuni wakifanya kosa, jibu letu litakuwa la kuumiza sana
Oct 17, 2024 08:14Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (SEPAH) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel na viongozi wake wanapaswa kutambua kuwa, Operesheni ya Ahadi ya Kweli-2 lilikuwa onyo tu na kama Israel itakosea na kuthubutu kufanya uvamizi, jibu la Iran litakuwa la kuumiza sana.
-
Rais wa Iran: Moto wa vita wa Wazayuni ukomeshwe kwa kuwashinikiza wanaowaunga mkono
Oct 17, 2024 04:39Rais wa Iran ametaka kushinikizwa waungaji mkono wa utawala wa Kizayuni ili kusitisha moto wa vita na jinai za mauaji ya kimbari zinazotekelezwa na utawala huo.
-
Araqchi: Enzi za Wazungu za sera ya "kugawa na kutawala" zimekwisha
Oct 17, 2024 04:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa zama za siasa habithi za kugawa na kutawala za Wazungu katika eneo la Asia Magharibi zimefikia kikomo.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Mfumo wa ulinzi wa Marekani wa THAAD si jambo jipya
Oct 16, 2024 23:25Waziri wa Ulinzi wa Iran ameeleza kuwa mfumo wa ulinzi wa Marekani wa THAAD si jambo jipya na kwamba Iran unalichukulia suala hilo kuwa ni sehemu ya vita vya kisaikolojia na sio tatizo mahsusi.