-
Rais wa Iran ataka dunia kulinda amani, kuzuia jinai za Israel dhidi ya ubinadamu
Aug 11, 2024 02:16Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Masoud Pezeshkian amesema mashirika ya kimataifa hususan Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lazima yatimize wajibu wao wa kulinda amani na usalama wa kieneo na dunia na kuzuia jinai dhidi ya binadamu zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran yalaanii vikali jinai mpya za utawala wa Kizayuni kwenye Ukanda wa Ghaza
Aug 11, 2024 02:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai nyingine ya kutisha iliyofanywa na Israel katika shule moja kwenye kambi ya wakimbizi wa Palestina na amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za haraka za kuudhibiti utawala katili wa Kizayuni.
-
Iran: Tumeshaandaa mazingira ya kutoa jibu kali dhidi ya Israel
Aug 10, 2024 10:13Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema mazingira yameshaandaliwa kwa ajili ya Iran kutoa jibu kali na la kuumiza dhidi ya Israel, kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kumuua shahidi Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Iran yakadhibisha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Marekani
Aug 10, 2024 07:42Ofisi ya uwakilishi wa kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu inakula njama ya kuathiri matokeo ya uchaguzi wa rais wa Marekani utakaofanyika baadaye mwaka huu.
-
Kipaumbele cha Iran ni usitishaji vita huko Gaza, utawala wa Israel utatiwa adabu
Aug 10, 2024 07:06Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, haki ya kujilinda kuhusiana na mauaji ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas mjini Tehran haina uhusiano wowote na usitishaji vita huko Gaza na kusema kuwa, usitishaji vita katika eneo la Magharibi mwa Asia ni kipaumbele cha Iran.
-
Iran: Usitishaji vita Ghaza hauna uhusiano wowote na haki yetu ya kujibu mapigo kwa ugaidi wa Israel
Aug 09, 2024 23:59Ofisi ya uwakilishi wa kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya kulipiza kisasi dhidi ya ugaidi wa Israel ndani ya Iran haina uhusiano wowote na mazungumzo ya kusitisha mapigano yanayoendelea katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kan'ani: Kama serikali za Kiislamu zingeiunga mkono Palestina kivitendo, watu wa Gaza wasingechinjwa
Aug 09, 2024 23:04Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa kuzembea kwa (baadhi) serikali za Kiislamu katika kuitetea Palestina na kusisitiza kuwa, lau serikali za Kiislamu zingeiunga mkono kivitendo Palestina, watu wa Gaza wasingechinjwa namna hii
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Utawala wa Kizayuni ujue kwamba tutalipiza kisasi cha damu ya Shahidi Ismail Haniya
Aug 09, 2024 08:32Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesisitiza ulazima wa kulipiza kisasi cha damu ya Shahidi Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS.
-
Iran: Israel imetengwa zaidi kisiasa duniani baada ya kumuua kigaidi Haniyah
Aug 09, 2024 03:50Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, kulaaniwa Israel kote duniani kwa mauaji ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Ismail Haniyah kumezidisha kutengwa kisiasa kwa utawala huo wa Kizayuni.
-
Kani: Iran haina mipaka katika kuimarisha uhusiano na Afrika
Aug 09, 2024 03:49Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haina kikomo wala mipaka katika kuimarisha na kupanua uhusiano wake na nchi za bara Afrika.