-
Licha ya hujuma za kinyama za Israel Sana'a na Hudaydah, kombora jengine la Yemen lapiga Tel Aviv
Dec 27, 2024 00:08Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimeripoti kuwa ving'ora vya tahadhari ya mashambulio ya anga vimesikika katika sehemu kubwa ya maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu yaliyopachikwa jina bandia la Israel kufuatia shambulio la kombora lililorushwa kutoka Yemen mapema leo.
-
Hamaki ya Tel Aviv dhidi ya matamshi ya Papa kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni
Dec 26, 2024 10:08Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala wa Kizayuni wa Israel imemwita balozi wa Vatican katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa ajili ya kusailiwa. Ni baada ya Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani kukosoa vita na mauaji ya Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
'Kristo bado yuko chini ya vifusi vya Gaza', kasisi wa Palestina asema katika ujumbe wa Krismasi
Dec 26, 2024 08:41"Kristo bado yuko chini ya vifusi vya Gaza huku eneo la Palestina lililozingirwa likiangamizwa". Haya yamesemwa na Munther Isaac, mchungaji na mwanatheolojia maarufu wa Kikristo wa Palestina, katika ujumbe wake wa kila mwaka wa Sikukuu ya Krismasi.
-
Wanamgambo wa HTS Syria washambulia waandamanaji wanaolaani kuvunjiwa heshima eneo takatifu
Dec 26, 2024 08:39Maandamano yamezuka kote nchini Syria kuhusiana na wanamgambo ambao wamevunjia heshima eneo takatifu la Waislamu wa madhehebu ya Alawi huko Aleppo, huku wanamgambo yenye silaha wa kundi la Hay'at Tahrir al-Sham (HTS) wakiwafyatulia risasi waandamanaji.
-
Ansarullah yatangaza kukamatwa maajenti wa Mossad na CIA nchini Yemen
Dec 26, 2024 07:34Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeitangaza kwamba imekamata idadi kadhaa ya "majasusi waliokuwa wakifanya kazi kwa maslahi ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad, na shirika la ujasusi la Marekani, CIA."
-
Yemen yashambulia Israel kwa kombora la pili la hypersonic
Dec 26, 2024 00:41Jeshi la Yemen limetumia kombora la hypersonic kulenga ngome ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ikiwa ni katika kuunga mkono Wapalestina wa Gaza.
-
Israel yawaua waandishi wa habari 5 wa Kipalestina mbele ya hospitali ya Al-Awda huko Gaza
Dec 26, 2024 00:39Mamlaka ya afya ya Gaza inasema mashambulizi mapya ya Israel yameua watu kadhaa, wakiwemo waandishi wa habari watano, na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo lililozingirwa la Palestina.
-
Maulamaa wa Yemen wautaka Umma wa Kiislamu kukabiliana na mashambulizi ya Wazayuni na Marekani
Dec 25, 2024 00:18Maulamaa wa Yemen wameutaka Umma wa Kiislamu kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Isreal na Marekani huko Gaza, Yemen na pia waungaji mkono wa kigaidi.
-
Kuangushwa ndege ya kivita ya Marekani ya F-18 ni ishara ya kuchanganyikiwa katika mashambulizi ya Yemen
Dec 25, 2024 00:06Kuangushwa kwa ndege ya kivita ya F-18 ya Marekani katika shambulio la angani la hivi karibuni nchini Yemen, kumepelekea kuibuke shaka kuhusu uwezo wa Marekani wa kudhibiti anga ya Marekani na uwezo wake wa kukabiliana na mashambulizi ya makombora na ndege za kivita zisizo na rubani kutoka Yemen.
-
Israel yakishambulia kituo cha ulinzi wa raia katika mji wa Gaza
Dec 25, 2024 00:05Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zimekishambulia kituo cha ulinzi wa raia katika mji wa Gaza.