-
'Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamesimama imara'
Feb 02, 2019 02:48Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameashiria njama za maadui dhidi ya Iran na kusema: "Pamoja na kuwepo uhasama wote huo, lakini Mapinduzi ya Kiislamu yamesimama imara na yanaendelea kupata nguvu na izza."
-
Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu yaliyashinda madola ya kibeberu kwa kusimama kidete wananchi
Jan 30, 2019 14:43Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hayati Imam Ruhullah Khomeini ni mhuishaji mkubwa zaidi wa dini katika zama za sasa na ndiye mhandisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo yalipata ushindi dhidi ya madola ya kibeberu kutokana na kusimama kidete kwa wananchi.
-
Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (7)
Jan 30, 2019 08:17Sehemu ya Sita: Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani. Msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran, ni matumaini yangu kuwa hujambo popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha tena kusikiliza kipindi hiki kinachokujia kila wiki, siku na saa kama hii, kinachozungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii. Endelea kuwa nami basi hadi mwisho wa mazungumzo yetu, ili kuweza kufaidika na yale niliyokuandalia katika mfululizo huu wa sita,
-
Larijani: Mapinduzi ya Kiislamu ni mafanikio makubwa ya karne
Jan 22, 2019 14:41Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran, Bunge la Iran, amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni mafanikio makubwa ya karne.
-
Jumatatu tarehe 21 Januari 2019
Jan 21, 2019 01:37Leo ni Jumatatu tarehe 14 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 21 Januari 2019.
-
Jumapili, Januari 20, 2019
Jan 20, 2019 01:10Leo ni Jumapili tarehe 13 Jamadil-Awwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 20 Januari 2019 Miladia.
-
Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (6)
Jan 15, 2019 06:44Sehemu ya Tano: Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani. Msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran, ni matumaini yangu kuwa hujambo popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha tena kusikiliza kipindi hiki kinachokujia kila wiki, siku na saa kama hii, kinachozungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii.
-
Mapinduzi ya Kiislamu Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii (3)
Jan 15, 2019 06:22Sehemu ya Pili: Mapinduzi ya Kiislamu yalivyojipambanua na mapinduzi mengine makubwa duniani. Msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran, huku nikitumai kuwa hujambo popote pale ulipo wakati huu, nakukaribisha kusikiliza kipindi hiki kinachokujia kila wiki, siku na saa kama hii. Endelea kuwa nami basi hadi mwisho wa mazungumzo yetu, ili kuweza kufaidika na yale niliyokuandalia katika mfululizo huu wa pili.
-
Mapinduzi ya Kiislamu; miaka 39 ya kusimama kidete dhidi ya mfumo wa kibeberu
Jan 09, 2019 07:46Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi, ambacho ni kipindi cha tangu kurejea Imam Khomeini kutoka uhamishoni hadi kupatikana ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Kipindi chetu cha leo kitajadili kusimama kidete mapinduzi haya kwa miaka 39 dhidi ya mfumo wa kibeberu. Kuweni nami hadi mwisho wa kipindi hiki.
-
Brigedia Jenerali Salami: Iran imeisababishia matatizo mengi kambi ya kibeberu
Dec 29, 2018 16:23Katika wakati huu wa kuelekea kwenye Bahman 22, (Februari 11), siku zinapofikia kileleni sherehe za Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Naibu wa Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran ni kgezo cha utekelezaji wa fikra ya siasa katika Uislamu kwa ajili ya kuleta mabadiliko katika uhusiano wa kimataifa, kigezo ambacho kimeuletea matatizo makubwa mfumo wa kibeberu.