-
Sayyid Nasrullah: Bila shaka sote tutaswali katika Msikiti wa al-Aqsa
Jun 09, 2021 03:47Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna chembe ya shaka kuwa Waislamu wote karibuni hivi wataibuka washindi mkabala wa Wazayuni na waitifaki wao, na hatimaye watatekeleza ibada ya Swala katika Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.
-
Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa
Jun 07, 2021 22:17Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema wananchi wa Palestina na kambi ya muqawama katu hawataruhusu kuvunjiwa heshima Masjidul Aqsa.
-
Hamas yaonya kuhusu hujuma yoyote ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al Aqsa
Jun 06, 2021 21:59Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Ghaza ametoa tamko baada ya kubainika kuwa Wazayuni wanapanga kufanya shambulio jingine dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Jumatatu tarehe 7 Juni 2021
Jun 06, 2021 21:58Leo ni Jumatatu tarehe 26 Shawwal 1442 Hijriia sawa na tarehe 7 Juni mwaka 2021.
-
Brigedia Jenerali Qaani: Wazayuni waondoke mara moja katika ardhi za Wapalestina
May 29, 2021 08:02Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuondoka katika ardhi za Wapalestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.
-
Jordan yalaani uvamizi mpya wa utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa al Aqsa
May 23, 2021 22:01Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imelaani uvamizi mpya wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa al Aqsa na hatua ya utawala huo ya kuwatia nguvuni wafanyazi wa Idara ya Waqfu ya Quds.
-
Baada ya kushindwa katika vita vya Gaza Wazayuni wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Wapalestina kufanya ibada
May 23, 2021 06:54Hali ya wasiwai imetanda tena katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina kutokana na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaowashambulia raia wa Palestina wanaoelekea eneo hilo kwa ajili ya ibada baada ya jeshi la utawala katili wa Israel kushindwa kufikia malengo yake katika vita vya siku 12 huko Gaza.
-
Hania: Mashahidi wa Palestina wamethibitisha kuwa Quds ni mstari mwekundu
May 22, 2021 02:08Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amegusia jinsi Wapalestina walivyouliwa shahidi na Wazayuni katika vita vya Quds na kusisitiza kuwa, mashahidi hao wamewathibitisha watu wote kwamba Quds na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa taifa hilo na umma wote wa Kiislamu.
-
Maelfu ya Wapalestina washiriki katika Sala ya Idul Fitr kwenye Msikiti wa al Aqsa
May 13, 2021 07:07Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr leo Alkhamisi asubuhi katika Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu licha ya sheria kali zilizowekwa na utawala wa Kizayuni ambao siku chache zilizopita wanajeshi wa utawala huo katili waliwashambulia kwa mabomu Waislamu waliokuwa wanasali ndani ya Msikiti huo.
-
Wapalestina wa Quds wawashukuru wenzao wa Ghaza kwa kuwapiga wanajeshi Wazayuni kwa makombora
May 11, 2021 03:12Wapalestina wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni wamefanya maandamano ya kutangaza kufurahishwa kwao na Wapalestina wenzao wa Ghaza kwa kuguswa na hali yao na kujibu jinai za Wazayuni huko Quds kwa kushambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni.