Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Jordan yalaani uvamizi mpya wa utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa al Aqsa

    Jordan yalaani uvamizi mpya wa utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa al Aqsa

    May 24, 2021 02:31

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imelaani uvamizi mpya wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa al Aqsa na hatua ya utawala huo ya kuwatia nguvuni wafanyazi wa Idara ya Waqfu ya Quds.

  • Baada ya kushindwa katika vita vya Gaza Wazayuni wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Wapalestina kufanya ibada

    Baada ya kushindwa katika vita vya Gaza Wazayuni wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Wapalestina kufanya ibada

    May 23, 2021 11:24

    Hali ya wasiwai imetanda tena katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina kutokana na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaowashambulia raia wa Palestina wanaoelekea eneo hilo kwa ajili ya ibada baada ya jeshi la utawala katili wa Israel kushindwa kufikia malengo yake katika vita vya siku 12 huko Gaza.

  • Hania: Mashahidi wa Palestina wamethibitisha kuwa Quds ni mstari mwekundu

    Hania: Mashahidi wa Palestina wamethibitisha kuwa Quds ni mstari mwekundu

    May 22, 2021 06:38

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amegusia jinsi Wapalestina walivyouliwa shahidi na Wazayuni katika vita vya Quds na kusisitiza kuwa, mashahidi hao wamewathibitisha watu wote kwamba Quds na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa taifa hilo na umma wote wa Kiislamu.

  • Maelfu ya Wapalestina washiriki katika Sala ya Idul Fitr kwenye Msikiti wa al Aqsa

    Maelfu ya Wapalestina washiriki katika Sala ya Idul Fitr kwenye Msikiti wa al Aqsa

    May 13, 2021 11:37

    Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr leo Alkhamisi asubuhi katika Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu licha ya sheria kali zilizowekwa na utawala wa Kizayuni ambao siku chache zilizopita wanajeshi wa utawala huo katili waliwashambulia kwa mabomu Waislamu waliokuwa wanasali ndani ya Msikiti huo.

  • Wapalestina wa Quds wawashukuru wenzao wa Ghaza kwa kuwapiga wanajeshi Wazayuni kwa makombora

    Wapalestina wa Quds wawashukuru wenzao wa Ghaza kwa kuwapiga wanajeshi Wazayuni kwa makombora

    May 11, 2021 07:42

    Wapalestina wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni wamefanya maandamano ya kutangaza kufurahishwa kwao na Wapalestina wenzao wa Ghaza kwa kuguswa na hali yao na kujibu jinai za Wazayuni huko Quds kwa kushambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni.

  • Hamas: Kuichezea Quds ni moto utakaowachoma viongozi wa Israel

    Hamas: Kuichezea Quds ni moto utakaowachoma viongozi wa Israel

    May 10, 2021 11:07

    Naibu Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unacheza na moto kwa kuendelea kuhujumu Baitul Muqaddas na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    May 08, 2021 12:21

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana Ijumaa walijitokeza kwa wingi katika matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mikubwa ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Iran yalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa

    Iran yalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa

    May 08, 2021 07:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa wakati Wapalestina walipokuwa katika eneo hilo takatifu kwa ajili ya ibada.

  • Kurejea Wapalestina katika ardhi zao ndio suluhu ya kadhia ya Palestina

    Kurejea Wapalestina katika ardhi zao ndio suluhu ya kadhia ya Palestina

    May 07, 2021 08:21

    Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu limesema kutimuliwa Wazayuni maghasibu na kurejea Wapalestina katika ardhi za mababu zao ndilo suluhisho pekee la mgogoro wa Palestina-Israel.

  • Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule

    Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule

    May 06, 2021 12:45

    Mkuu wa Baraza Kuu la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ukombozi wa Quds tukufu umejongea wakati huu, kuliko wakati mwingine wowote ule.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Rais Pezeshkian: Iran haitaki vita; mashinikizo ya kiuchumi yanalenga kuichafua serikali

    Rais Pezeshkian: Iran haitaki vita; mashinikizo ya kiuchumi yanalenga kuichafua serikali

    4 hours ago
  • Katibu Mkuu wa UN alaani mradi mpya wa Israel wa kunyakua maeneo ya Ukingo wa Magharibi

  • Iran inaweza kupunguza kiwango cha urutubishaji urani iwapo ‘vikwazo vyote vitaondolewa’

  • Türk: Janga la haki za binadamu Sudan linaweza kuzuilika

  • Msemaji wa Majeshi: Iran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani wakati wa mazungumzo

Chaguo La Mhariri
  • Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi

    9 hours ago
  • Uvamizi wa damu: Jinai za nyuma ya pazia za Ufaransa nchini Ivory Coast

    Uvamizi wa damu: Jinai za nyuma ya pazia za Ufaransa nchini Ivory Coast

    22 hours ago
  • Kwa nini China inatetea

    Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kiongozi Muadhamu awataka Wairani kuwakatisha tamaa maadui Bahman 22

  • Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?

  • Jeshi la Iran: Vidole vyetu viko kwenye kitufe cha kufyatua risasi, lakini hatutaki kuanzisha vita

  • Spika: Iran inajiimarisha kijeshi sambamba na diplomasia

  • Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya 'kuabudu shetani' ya watu mashuhuri wa Magharibi

  • Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kikamilifu kutoa jibu la haraka na kali kwa uchokozi wowote

  • Zambia yaripoti visa 20 vipya vya kipindupindu ndani ya saa 24

  • Rais wa Somalia aapa kuzuia kambi ya kijeshi ya Israel katika eneo la Somaliland

  • Watu 53 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama pwani ya Libya

  • Jeshi la Mali: Makumi ya wanamgambo wameuawa karibu na Segou

  • Ethiopia yaitaka Eritrea iondoe haraka vikosi kwenye ardhi yake

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS