Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Hamas: Kuichezea Quds ni moto utakaowachoma viongozi wa Israel

    Hamas: Kuichezea Quds ni moto utakaowachoma viongozi wa Israel

    May 10, 2021 06:37

    Naibu Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unacheza na moto kwa kuendelea kuhujumu Baitul Muqaddas na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    May 08, 2021 07:51

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana Ijumaa walijitokeza kwa wingi katika matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mikubwa ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Iran yalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa

    Iran yalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa

    May 08, 2021 03:17

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa wakati Wapalestina walipokuwa katika eneo hilo takatifu kwa ajili ya ibada.

  • Kurejea Wapalestina katika ardhi zao ndio suluhu ya kadhia ya Palestina

    Kurejea Wapalestina katika ardhi zao ndio suluhu ya kadhia ya Palestina

    May 07, 2021 03:51

    Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu limesema kutimuliwa Wazayuni maghasibu na kurejea Wapalestina katika ardhi za mababu zao ndilo suluhisho pekee la mgogoro wa Palestina-Israel.

  • Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule

    Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule

    May 06, 2021 08:15

    Mkuu wa Baraza Kuu la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ukombozi wa Quds tukufu umejongea wakati huu, kuliko wakati mwingine wowote ule.

  • Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    May 05, 2021 03:02

    Mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Iran ina stratejia maalumu, thabiti na kabambe ya kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi wa Palestina.

  • Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds

    Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds

    May 05, 2021 02:00

    Mwanaharakati mmoja nchini Russia ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kulipa kipaumbele cha kwanza suala la ukombozi wa Quds tukufu na kadhia ya Palestina kwa ujumla.

  • Makundi ya Muqawama Palestina yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Makundi ya Muqawama Palestina yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 04, 2021 21:48

    Makundi ya muqawama na kupigania ukombozi wa Palestina yametoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuchukua hatua zozote za kuwakandamiza vijana Wapalestina katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.

  • Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds

    Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds

    May 03, 2021 21:03

    Shirika huru la kutetea haki za binadamu limesema utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa majengo 58 ya Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.

  • Palestina yataka dunia iishinikize Israel iruhusu uchaguzi Quds

    Palestina yataka dunia iishinikize Israel iruhusu uchaguzi Quds

    Apr 28, 2021 21:58

    Msemaji wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameiasa jamii ya kimataifa iushinikize zaidi utawala wa Kizayuni wa Israel ili ukubali kufanyika uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem).

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    12 hours ago
  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

  • Afrika Kusini yaapa kukabiliana vikali na ukatili dhidi ya wahamiaji

  • Timu za uokoaji zinakimbizana na wakati kutafuta manusura chini ya vifusi; huenda 10,000 wameuawa zilzala ya Venezuela

Chaguo La Mhariri
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    1 day ago
  • Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    4 days ago
  • Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?

    Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?

    5 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Baghaei: NATO inapaswa kuwajibishwa kwa kushiriki katika vita dhidi ya Iran

  • Qalibaf: Mpangilio mpya wa Kiislamu uundwe baada ya Marekani na Israel kudhalilishwa katika vita dhidi ya Iran

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

  • Rais Pezeshkian: Imam Hussein (a.s.) ametufundisha kusimama dhidi ya dhulma

  • Hizbullah: Israel haiwezi kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita

  • Iran yapendekeza kuanzishwa Umoja wa Redio na Televisheni wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai

  • Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

  • Joto kali lasababisha vifo vya zaidi ya watu 212 barani Ulaya

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS