Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    May 05, 2021 07:32

    Mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Iran ina stratejia maalumu, thabiti na kabambe ya kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi wa Palestina.

  • Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds

    Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds

    May 05, 2021 06:30

    Mwanaharakati mmoja nchini Russia ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kulipa kipaumbele cha kwanza suala la ukombozi wa Quds tukufu na kadhia ya Palestina kwa ujumla.

  • Makundi ya Muqawama Palestina yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Makundi ya Muqawama Palestina yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 05, 2021 02:18

    Makundi ya muqawama na kupigania ukombozi wa Palestina yametoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuchukua hatua zozote za kuwakandamiza vijana Wapalestina katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.

  • Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds

    Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds

    May 04, 2021 01:33

    Shirika huru la kutetea haki za binadamu limesema utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa majengo 58 ya Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.

  • Palestina yataka dunia iishinikize Israel iruhusu uchaguzi Quds

    Palestina yataka dunia iishinikize Israel iruhusu uchaguzi Quds

    Apr 29, 2021 02:28

    Msemaji wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameiasa jamii ya kimataifa iushinikize zaidi utawala wa Kizayuni wa Israel ili ukubali kufanyika uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem).

  • Iran yalaani hujuma za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Quds tukufu

    Iran yalaani hujuma za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Quds tukufu

    Apr 25, 2021 05:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali uvamizi na chokochoko mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Mufti wa Quds ataka kuchukuliwa hatua za kukabiliana na hujuma dhidi ya Masjdul-Aqswa

    Mufti wa Quds ataka kuchukuliwa hatua za kukabiliana na hujuma dhidi ya Masjdul-Aqswa

    Apr 15, 2021 08:19

    Mufti wa Quds na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amewataka viongozi wa mataifa ya Kiarabu, ya Kiislamu na wananchi wa mataifa hayo kuchukua hatua za haraka za kusitisha hujuma za utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa.

  • Wapalestina wakasirishwa na kitendo chha Wazayuni cha kuzuia adhana kwa kutumia vipaza sauti

    Wapalestina wakasirishwa na kitendo chha Wazayuni cha kuzuia adhana kwa kutumia vipaza sauti

    Apr 14, 2021 11:29

    Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukata nyaya za vipaza sauti katika Msikiti wa al-Aqswa na kuzuia kuadhiniwa kwa kutumia vipaza sauti.

  • Waislamu wahamakishwa na hatua ya Kosovo kufungua ubalozi Quds

    Waislamu wahamakishwa na hatua ya Kosovo kufungua ubalozi Quds

    Mar 15, 2021 10:50

    Waislamu wameghadhabishwa mno na kitendo cha Kosovo kufungua ubalozi wa nchi hiyo ndogo ya Ulaya katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Wanajeshi wa Israel wamkamata Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa

    Wanajeshi wa Israel wamkamata Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa

    Mar 10, 2021 12:25

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemkamata Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu: Maandamano kufanyika katika miji 1,400, waandishi habari 7,700 wanaakisi tukio hilo

    Maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu: Maandamano kufanyika katika miji 1,400, waandishi habari 7,700 wanaakisi tukio hilo

    4 hours ago
  • Milio mikali ya risasi yasikika karibu na gereza la Conakry, mji mkuu wa Guinea

  • Kamanda wa ngazi ya juu wa al Shabaab auawa katika oparesheni ya usalama Somalia

  • Larijani akutana na Sultani wa Oman, mazungumzo baina ya wawili yaendelea kwa saa tatu

  • Umoja wa Afrika watoa wito wa kusitishwa vita nchini DRC

Chaguo La Mhariri
  • Kusimama kidete Somalia dhidi ya mpango hatari wa Wazayuni huko Somaliland

    Kusimama kidete Somalia dhidi ya mpango hatari wa Wazayuni huko Somaliland

    6 hours ago
  • Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi

    16 hours ago
  • Uvamizi wa damu: Jinai za nyuma ya pazia za Ufaransa nchini Ivory Coast

    Uvamizi wa damu: Jinai za nyuma ya pazia za Ufaransa nchini Ivory Coast

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kiongozi Muadhamu awataka Wairani kuwakatisha tamaa maadui Bahman 22

  • Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?

  • Jeshi la Iran: Vidole vyetu viko kwenye kitufe cha kufyatua risasi, lakini hatutaki kuanzisha vita

  • Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya 'kuabudu shetani' ya watu mashuhuri wa Magharibi

  • Spika: Iran inajiimarisha kijeshi sambamba na diplomasia

  • Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kikamilifu kutoa jibu la haraka na kali kwa uchokozi wowote

  • Zambia yaripoti visa 20 vipya vya kipindupindu ndani ya saa 24

  • Rais Pezeshkian: Iran haitaki vita; mashinikizo ya kiuchumi yanalenga kuichafua serikali

  • Iran inaweza kupunguza kiwango cha urutubishaji urani iwapo ‘vikwazo vyote vitaondolewa’

  • Rais wa Somalia aapa kuzuia kambi ya kijeshi ya Israel katika eneo la Somaliland

  • Watu 53 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama pwani ya Libya

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS