-
Hamas: Kuichezea Quds ni moto utakaowachoma viongozi wa Israel
May 10, 2021 06:37Naibu Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unacheza na moto kwa kuendelea kuhujumu Baitul Muqaddas na kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds
May 08, 2021 07:51Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana Ijumaa walijitokeza kwa wingi katika matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mikubwa ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Iran yalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa
May 08, 2021 03:17Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa wakati Wapalestina walipokuwa katika eneo hilo takatifu kwa ajili ya ibada.
-
Kurejea Wapalestina katika ardhi zao ndio suluhu ya kadhia ya Palestina
May 07, 2021 03:51Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu limesema kutimuliwa Wazayuni maghasibu na kurejea Wapalestina katika ardhi za mababu zao ndilo suluhisho pekee la mgogoro wa Palestina-Israel.
-
Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule
May 06, 2021 08:15Mkuu wa Baraza Kuu la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ukombozi wa Quds tukufu umejongea wakati huu, kuliko wakati mwingine wowote ule.
-
Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina
May 05, 2021 03:02Mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Iran ina stratejia maalumu, thabiti na kabambe ya kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi wa Palestina.
-
Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds
May 05, 2021 02:00Mwanaharakati mmoja nchini Russia ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kulipa kipaumbele cha kwanza suala la ukombozi wa Quds tukufu na kadhia ya Palestina kwa ujumla.
-
Makundi ya Muqawama Palestina yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel
May 04, 2021 21:48Makundi ya muqawama na kupigania ukombozi wa Palestina yametoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuchukua hatua zozote za kuwakandamiza vijana Wapalestina katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.
-
Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds
May 03, 2021 21:03Shirika huru la kutetea haki za binadamu limesema utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa majengo 58 ya Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.
-
Palestina yataka dunia iishinikize Israel iruhusu uchaguzi Quds
Apr 28, 2021 21:58Msemaji wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameiasa jamii ya kimataifa iushinikize zaidi utawala wa Kizayuni wa Israel ili ukubali kufanyika uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem).