Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Wazayuni wauvamia tena Msikiti wa Al Aqsa kwa siku ya nne mfululizo

    Wazayuni wauvamia tena Msikiti wa Al Aqsa kwa siku ya nne mfululizo

    Oct 03, 2023 04:23

    Kundi kubwa la walowezi wa Kizayuni leo wameuvamia tena kwa siku ya nne mtawalia Msikiti wa Al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu huku wakilindwa na kusindikizwa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Nasrullah: Lazima Wazayuni waisikie sauti ya Umma wa Kiislamu kuhusiana na kibla cha kwanza cha Waislamu

    Nasrullah: Lazima Wazayuni waisikie sauti ya Umma wa Kiislamu kuhusiana na kibla cha kwanza cha Waislamu

    Oct 03, 2023 03:10

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Umma wa Kiislamu unapaswa utekeleze wajibu wake kwa watu wa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa, na akasisitiza kuwa: Wazayuni lazima waisikie sauti ya Umma wa Kiislamu kuhusiana na Kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli

    Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli

    Sep 30, 2023 07:52

    Miaka 23 imepita tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa. Swali muhimu ni kwamba, je, miaka 23 baada ya Intifadha ya Al-Aqsa, ni matukio gani yameshuhudiwa katika mgogoro wa Palestina na Wazayuni.

  • Alkhamisi tarehe 28 Septemba, 2023

    Alkhamisi tarehe 28 Septemba, 2023

    Sep 27, 2023 23:33

    Leo ni Alkhamisi tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Septemba 28, 2023.

  • OIC yalaani ongezeko la hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa

    OIC yalaani ongezeko la hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa

    Sep 19, 2023 22:52

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vikali vitendo vya hujuma za walowezi wa Kizayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Sep 18, 2023 23:01

    Sambamba na maadhimisho ya sikukuu za Kiyahudi, makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wameuvamia msikiti mtakatifu wa al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi.

  • Msikiti wa al-Aqswa waendelea kuvamiwa na walowezi wa Kizayuni

    Msikiti wa al-Aqswa waendelea kuvamiwa na walowezi wa Kizayuni

    Sep 13, 2023 07:42

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina na kuuvunjia heshima.

  • Msikiti wa al-Aqswa ni mstari mwekundu wa taifa la Palestina

    Msikiti wa al-Aqswa ni mstari mwekundu wa taifa la Palestina

    Sep 11, 2023 10:31

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS huko Quds iinayokaliwa kwa mabavu ameashiria vitendo vya Wazayuni vya kulivunjia heshima eneo hilo takatifu na kusisitiza kwamba, msikiti wa al-Aqswa utaendelea kuwa mstari mwekundu wa taifa la Palestina.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena kibla cha kwanza cha Waislamu

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena kibla cha kwanza cha Waislamu

    Sep 11, 2023 03:28

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima.

  • OIC: Papua New Guinea imefanya makosa kwa kufungua ubalozi Quds

    OIC: Papua New Guinea imefanya makosa kwa kufungua ubalozi Quds

    Sep 08, 2023 04:07

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekosoa vikali hatua ya Papua New Guinea kufungua ubalozi katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake

    China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake

    12 minutes ago
  • Baqaei: Marekani inaendelea kusisitiza mawazo yaliyobuniwa na utawala wa Israel

  • Iran yawasilisha majibu kwa pendekezo la Marekani la kukomesha uchokozi

  • Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia

  • Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia

Chaguo La Mhariri
  • Kurudi Nyumbani Wakati wa Vita vya Siku 40 Wairan Waliokuwa Wameihajiri Nchi Kunafikisha Ujumbe Gani?

    Kurudi Nyumbani Wakati wa Vita vya Siku 40 Wairan Waliokuwa Wameihajiri Nchi Kunafikisha Ujumbe Gani?

    3 days ago
  • Sera ya US ya Mwiko wa Kutosema Chochote Kuhusu Silaha za Nyuklia ya Israel Inamomonyoka?

    Sera ya US ya Mwiko wa Kutosema Chochote Kuhusu Silaha za Nyuklia ya Israel Inamomonyoka?

    3 days ago
  • Sababu Gani Zinaifanya UAE Ishupalie Vita Dhidi ya Iran?

    Sababu Gani Zinaifanya UAE Ishupalie Vita Dhidi ya Iran?

    6 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kamanda wa IRGC: Iran iko tayari kushambulia ngome za Marekani

  • Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia

  • Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia

  • Wananchi wa Mali waandamana kumuunga mkono kiongozi wao wa kijeshi

  • Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini

  • Niger yasimamisha vyombo tisa vya habari vya Ufaransa

  • Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel

  • Mchezaji wa tenisi wa Iran ajiondoa mashindano ya dunia kuepuka kushindana na Muisraeli

  • Watu 70 wauawa kaskazini mashariki mwa Kongo; Umoja wa Mataifa walaani ghasia

  • China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake

  • Baqaei: Marekani inaendelea kusisitiza mawazo yaliyobuniwa na utawala wa Israel

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS