-
Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima
Aug 31, 2023 02:29Katika hatua zao zisizokoma, makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima.
-
Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima
Aug 29, 2023 02:46Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima.
-
Walowezi wa Kizayuni na mbunge wa zamani wa Israel wauvunjia heshima msikiti wa al-Aqswa
Aug 24, 2023 02:34Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wakiwa pamoja na Mbunge wa zamani wa Bunge la Israel wamevamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.
-
OIC yatoa wito wa kulindwa Msikiti wa Al-Aqsa
Aug 23, 2023 02:36Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kulindwa hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).
-
Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima
Aug 22, 2023 10:35Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.
-
Kwa mara nyingine walowezi wa Kizayuni wenye chuki na Uislamu wavamia msikiti wa al-Aqswa
Aug 10, 2023 13:28Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
-
Walowezi wa Kizayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa
Aug 10, 2023 02:22Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu mpaka kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.
-
Wazayuni wauvunjia heshima tena Msikiti wa al-Aqsa
Aug 02, 2023 10:40Katika hatua ambayo imekuwa ni ya kawaida katika miezi ya hivi karibuni, Wazayuni kwa mara nyingine tena wameingia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa kwa uungaji mkono wa jeshi la utawala ghasibu wa Isreal.
-
Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa
Jul 17, 2023 04:32Wazayuni maghasibu wenye misimamo ya kufurutu ada Kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
-
Katibu Mkuu wa mkutano wa kuiunga mkono Intifadha ya Palestina; Njia pekee ya taifa la Palestina ni kuendeleza muqawama
Jul 13, 2023 07:52Katibu Mkuu wa Mkutano wa kuiunga mkono Intifadha ya Palestina amesema kuwa njia pekee liliyonayo taifa la Palestina ni kuendeleza mapambano hadi ushindi wa mwisho.