-
Bibi Fatimatu-Zahra (SA), Mama wa Mema na Mazuri Yote
Feb 25, 2019 16:24Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Tarehe 20 Mfunguo Tisa, Jamadu Thani mwaka wa Hijria imepambwa kwa uzawa wa Bibi Fatimatu-Zahra (sa), binti wa Bwana Mtume Muhammad SAW. Uzawa wa mtukufu huyo lilikuwa tukio muhimu lililotokea katika miaka ya ujumbe wa Bwana Mtume SAW.
-
Ruwaza Njema (14)
Feb 19, 2019 06:50Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Kama ilivyo kawaida yetu, katika kipindi hiki pia tutachambua baadhi ya Hadithi za kuaminika kutoka kwa watukufu wa Nyumba ya Mtume (saw) ili zitusaidie na kutuongoza katika njia nyoofu ya kuiga na kufuata mfano mwema wa tabia na nyendo za kuvutia za Mtume (saw) katika maisha yetu ya kila siku.
-
Ruwaza Njema (13)
Feb 19, 2019 06:44Assalaam Aleikum Wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambacho hutufafanulia visa na mifano tofauti ya sifa na tabia njema za Mtume Mtukufu (saw), ili nasi tupate kufuata na kujipamba kwa tabia hizo njema.
-
Ruwaza Njema (12)
Feb 06, 2019 14:22Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya 12 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Ruwaza Njema.
-
Ruwaza Njema (11)
Feb 06, 2019 14:17Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya 11 ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambapo kwa leo tutazungumzia sifa njema ya Mtume Mtukufu (saw) ambaye ni mbora wa viumbe, ya kusamehe watu na kuwaongoza kwenye heri kuu, hata tunapokuwa na uwezo wa kulipiza kisasi kwa mabaya waliyotufanyia.
-
Ruwaza Njema (10)
Feb 06, 2019 14:09Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni kusikiliza kipindi kingine katika mfululizo wa vipindi vya Ruwaza Njema, ambapo huwa tunanufaika na baadhi ya Hadithi katika kufahamu na kufuata mfano mwema wa Mtume Mtukufu (saw) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na maisha yetu ya kimaanawi na kimaada.
-
Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu
Feb 02, 2019 04:35Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.
-
Ruwaza Njema (9)
Jan 30, 2019 08:33Assalaam Alaykum. Ni siku nyingine ambayo tumejaaliwa kukutana nanyi tena wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambapo kwa leo tutazungumzia tabia nyingine njema ya mbora wa viumbe, Mtume Mtukufu (saw) kuhusiana na jinsi ya kuamiliana vyema na Watu wa Kitabu yaani Wakristo wanaoishi katika kivuli cha serikali adilifu na inayofuata mafundisho ya Mwenyezi Mungu na namna alivyokuwa akifanya ibada zake, hivyo kuweni nasi hadi mwisho wa kipindi.
-
Maneno na Sira ya Mtume Mtukufu SAW; mwongozo wa umoja wa ulimwengu wa Kiislamu
Dec 05, 2018 10:06Katika kipindi cha miaka 10 aliyoishi katika mji mtakatifu wa Madina, Mtume Mtukufu SAW alikuwa mfano unaong'ara na usio na mfano wake wa kuimarisha umoja na udugu wa Kiislamu katika jamii ya Kiislamu.
-
Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu
Dec 01, 2018 10:28Assalamu Alaykum msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran popote pale ulipo wakati huu na karibu kusikiliza kipindi hiki maalumu cha Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu uliofanyika hapa mjini Tehran kuanzia tarehe 24 hadi 26 Novemba 2018, kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja ya maadhimisho ya kuzaliwa Kiongozi na Muunganishi wa Umma wa Kiislamu, Bwana Mtume Muhammad SAW. Endelea basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mazungumzo yetu.