SAUTI: Wagonjwa wa akili wakimbia hospitalini Kenya
Dec 06, 2016 08:42 UTC
Huku mgomo wa madaktari ukiendelea nchini Kenya, zaidi ya wagonjwa mia moja wa akili wameripotiwa kutoroka hospitalini. Mwandishi wa Radio Tehran amefuatilia habari hiyo na kutuandalia ripoti ifuatayo...
Tags