SAUTI: Ziara ya Rais wa Misri nchini Uganda
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i21787-sauti_ziara_ya_rais_wa_misri_nchini_uganda
Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri amefanya ziara nchini Uganda na kuonana na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo na kujadiliana nao masuala muhimu ya pande mbili ikiwemo mikakati ya kutumia vizuri maji ya mto Nile. Mwandishi wa Raido Tehran na ripoti zaidi kutoka mjini Kampala.
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Dec 20, 2016 07:26 UTC

Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri amefanya ziara nchini Uganda na kuonana na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo na kujadiliana nao masuala muhimu ya pande mbili ikiwemo mikakati ya kutumia vizuri maji ya mto Nile. Mwandishi wa Raido Tehran na ripoti zaidi kutoka mjini Kampala.