SAUTI: Vita dhidi ya mihadarati nchini Tanzania
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i24713-sauti_vita_dhidi_ya_mihadarati_nchini_tanzania
Jeshi la Polisi nchini Tanzania pamoja na serikali ya nchi hiyo imetupiwa lawama za kukithiri biashara haramu ya dawa za kulevya na kuongezeka idadi ya watumiaji wa dawa hizo haramu. Mwandishi wa Radio Tehran wa jijini Dar es Salaam Tanzania, amefuatilia jambo hilo na kutuandalia ripoti ifuatayo.
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Feb 05, 2017 03:37 UTC

Jeshi la Polisi nchini Tanzania pamoja na serikali ya nchi hiyo imetupiwa lawama za kukithiri biashara haramu ya dawa za kulevya na kuongezeka idadi ya watumiaji wa dawa hizo haramu. Mwandishi wa Radio Tehran wa jijini Dar es Salaam Tanzania, amefuatilia jambo hilo na kutuandalia ripoti ifuatayo.