SAUTI: Kiswahili lugha rasmi nchini Rwanda, Kifaransa chatupwa
Feb 13, 2017 12:13 UTC
Wananchi wa Rwanda wamefurahishwa na uamuzi wa bunge la nchi hiyo wa kupitisha Kiswahili kama lugha rasmi nchini humo.
Hii imefuatia Baraza la Mawaziri kukipitisha Kiswahili mwaka jana. Rwanda inasema kwamba inafanya hivyo ili kwenda sambamba na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo ni mwanachama
Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylvanus Karemera anaripoti zaidi.
Tags