SAUTI: Radio Tehran yahojiana na wakimbizi wa Rwanda mjini Brazzaville
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i27622-sauti_radio_tehran_yahojiana_na_wakimbizi_wa_rwanda_mjini_brazzaville
Wakimbizi kutoka Rwanda wanaoishi nchini Kongo Brazzaville wamefanya maombi ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari yaliyojiri nchini mwao mwaka 1994. Mwandishi wa Radio Tehran aliyeko mjini Brazzaville amefanya mahojiano maalumu na mwakilishi wa wakimbizi hao...
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Apr 11, 2017 02:38 UTC

Wakimbizi kutoka Rwanda wanaoishi nchini Kongo Brazzaville wamefanya maombi ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari yaliyojiri nchini mwao mwaka 1994. Mwandishi wa Radio Tehran aliyeko mjini Brazzaville amefanya mahojiano maalumu na mwakilishi wa wakimbizi hao...