Changamoto ya wakimbizi Uganda, fedha zatoweka, UN yaingia wasiwasi + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i39991-changamoto_ya_wakimbizi_uganda_fedha_zatoweka_un_yaingia_wasiwasi_sauti
Uganda inakabiliwa na changamoto nyingi kutoka na kuzidi kumiminika wakimbizi nchini humo. Miongoni mwa changamoto hizo ni hitilafu za fedha za kuhudumia wakimbizi zilizoutia wasiwasi Umoja wa Mataifa. Vitambulisho na pasi bandia za kusafiria ni changamoto nyingine. Mwandishi wetu na taarifa zaidi
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Feb 06, 2018 07:07 UTC

Uganda inakabiliwa na changamoto nyingi kutoka na kuzidi kumiminika wakimbizi nchini humo. Miongoni mwa changamoto hizo ni hitilafu za fedha za kuhudumia wakimbizi zilizoutia wasiwasi Umoja wa Mataifa. Vitambulisho na pasi bandia za kusafiria ni changamoto nyingine. Mwandishi wetu na taarifa zaidi