Changamoto za teknolojia barani Afrika + Sauti
Feb 06, 2018 07:17 UTC
Mataifa ya Afrika yametangaza kuwa yako tayari kushirikiana kuweka sera na sheria moja kuhusu uratibu na matumizi ya teknolojia kwenye medani za kimataifa. Hilo limetangazwa na Muungano wa Kimataifa kuhusu Teknolojia unaojulikana kwa jina maarufu la ITU. Mwandishi wetu wa Kigali na taarifa kamili
Tags