-
Wanawake wa Iran wang'ara katika sekta ya sayansi na teknolojia
Dec 24, 2024 00:00Wanawake wa Iran wameng'ara katika sekta ya sayansi na teklojia na kuliletea taifa mafanikio makubwa katika uga huu.
-
Iran: Hatuna mawasiliano ya moja kwa moja na mrengo tawala wa sasa huko Syria
Dec 23, 2024 23:03Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa tulikuwa na mawasiliano na mrengo wa upinzani wa Syria tangu kitambo nyuma na tulisema kwamba Iran iliingia Syria kwa ajili ya kupambana na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) na kuzuia kuenea ugaidi katika nchi za eneo hili, lakini hatuna mawasiliano ya wa moja kwa moja na mrengo uliotwaa madarakan nchini Syria hivi sasa.
-
Iran na Russia zahimiza kuimarishwa uhusiano wa pande mbili
Dec 23, 2024 22:59Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa, serikali yake imedhamiria kikwelikweli kuimarisha uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia na kukamilishwa haraka njia ya Ukanda wa Kimataifa wa Usafiri wa Kaskazini-Kusini (INSTC).
-
Kamanda Salami: Hakuna nguvu juu ya ardhi, bahari au angani inayoweza kuishinda IRGC
Dec 23, 2024 10:48Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesisitiza kuwa hakuna nguvu yoyote duniani inayoweza kushinda nguvu za jeshi la IRGC kwa upande wa ardhi, baharini na angani na kwamba uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umevuka mipaka.
-
Abbas Araghchi: Marekani inafanya njama za kudhoofisha nchi za Kiislamu
Dec 23, 2024 02:14Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, kinachofanywa na Marekani kwa kukiuka kwa kiasi kikubwa misingi na kanuni za sheria za kimataifa ni kwa niaba ya utawala wa Kizayuni na katika fremu ya mpango wao wa pamoja wa kuziangamiza na kuzidhoofisha nchi za Kiislamu na kulitawala eneo hili.
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Muqawama wa Wapalestina umeonyesha sura halisi ya mfumo wa kibeberu
Dec 22, 2024 23:41Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muqawama wa Palestina na Mujahidina wa Gaza wameonyesha sura mbaya na ya kweli ya mfumo wa kibeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Stratejia za busara na athirifu za Iran katika kuihami kambi ya muqawama
Dec 22, 2024 23:39Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameweka wazi misimamo ya Jamhuri ya Kislamu ya Iran kuhusu matukio ya kikanda na kimataifa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza hayo katika mahijiano maalumu aliyofanya na mtandao wa Misri wa al Ghad pambizoni mwa mkutano wa wakuu wa nchi za Kiislamu zinazoendelea yaani D-8 mjini Cairo, Misri.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran haina wala haihitaji vikosi vya niaba
Dec 22, 2024 09:30Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amepuuzilia mbali madai kwamba Iran imefungiwa njia ya kufikia "vikosi vyake vya niaba" katika eneo la Magharibi mwa Asia, na kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina wala haihitaji vikosi hivyo ili kufikia malengo yake
-
Blinken: Marekani haina uwezo wa kupindua serikali ya Iran
Dec 22, 2024 00:11Anthony Blinken Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani sambamba na kukiri kuweko njama za Marekani za kuihujumu Iran, ameeleza kwa kina sababu zinazofanya juhudi hizo kutozaa matunda.
-
Mahusiano ya Biashara ya Iran na Pakistan yaongezeka
Dec 22, 2024 00:08Takwimu zinaonyesha kuwa, uhusiano wa kibiashara wa Iran na Pakistan umeongezeka na unazidi kukua siku baada ya siku.