-
Maulamaa wa Kisunni Iran wawaandikia barua wenzao katika Ulimwengu wa Kiislamu kuhusu Vita vya Ghaza
Nov 17, 2024 10:39Mamia ya Maulamaa mashuhuri wa Kisunni wa nchini Iran wametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kivitendo na Maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu katika kukabiliana na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza.
-
Araghchi: Wamagharibi wameonyesha nia ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia
Nov 17, 2024 04:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi, amesema kuwa hivi sasa nchi za Ulaya zinaonyesha nia ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia na kueleza kuwa: Yumkini mazungumzo hayo yakafanya hivi karibuni.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran akutana na mwenzake wa Syria
Nov 17, 2024 04:05Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Azizi Nasirzadeh, ambaye yuko ziarani nchini Syria, amekutana na na kufanya mazungumzo na waziri mwenzake leo Jumapili.
-
Baghaei: Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa hajakutana na Elon Musk
Nov 16, 2024 22:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baghaei amekanusha habari za kufanyika mkutano kati ya mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa na mshauri wa Rais mpya wa Marekani, Elon Musk.
-
Indhari ya Iran kuhusu mchezo wa kisiasa wa Troika ya Ulaya
Nov 16, 2024 22:56Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na Rafael Grossi Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa KImataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) hapa Tehran kuwa: "Kile ambacho Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inakitaka katika teknolojia ya nyuklia kinakwenda sambamba kikamilifu na mifumo na vibali vya kisheria vya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki."
-
Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel
Nov 16, 2024 09:03Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za lazima ili kukomesha jinai za utawala ghasibu wa Israel.
-
Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina
Nov 16, 2024 08:30Kamati ya Haki za Binadamu na Masuala ya Kibinadamu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio na kusisitiza kuwa wananchi wa Palestina wana haki ya kujiainishia mustakbali wao katika ardhi za Palestina, na kwamba wana haki ya kuwa huru, kujitawala na kujikomboa haraka kutoka katika makucha ya ukaliaji mabavu wa utawala wa Kizayuni.
-
Larijani: Iran inaendelea kuunga mkono muqawama katika hali zote
Nov 16, 2024 01:20Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa, Iran inaendelea kuunga mkono kwa kila hali harakati za Muqawama au mapambano ya Kiislamu katika eneo.
-
Takriban magaidi 70 wenye mafungamano na Mossad wameuawa au kukamatwa kusini mashariki mwa Iran
Nov 15, 2024 23:23Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limewaua au kuwakamata magaidi 69 wanaohusishwa na shirika la ujasusi la Israel, Mossad, wakati wa mazoezi makubwa ya kukabiliana na ugaidi kusini mashariki mwa nchi.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza na Lebanon ni vita vya ukafiri dhidi ya kambi ya haki
Nov 15, 2024 10:11Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amevitaja vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Gaza na Lebanon kuwa ni vita kati ya haki na batili.