-
Tanzania yazionya BBC, CNN, DW na al-Jazeera ikisema vina nia ovu
Nov 23, 2025 23:48Msemaji wa serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amevikosoa vyombo vya habari vya nje akivitaka kufuata maadili na misingi ya uandishi wa habari.
-
Iran yaidhinisha miradi ya uwekezaji wa kigeni ya dola milioni 485
Nov 23, 2025 23:33Bodi ya uwekezaji wa kigeni ya Iran imeidhinisha maombi 67 yenye thamani ya dola milioni 485 wakati wa mkutano wake wa tisa wa mwaka, kuashiria maslahi mapya kutoka kwa wawekezaji wa kimataifa katika sekta nyingi.
-
Kwa nini ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaua maelfu barani Afrika licha ya kuwa unaoweza kuzuilika?
Nov 23, 2025 23:33Ulimwenguni kote, kichaa cha mbwa huua takriban watu 59,000 kila mwaka, na karibu 95% ya vifo hivi vikitokea Afrika na Asia. Hii inasababishwa na ongezeko la idadi ya mbwa wanaotangatanga bila chanjo, upatikanaji duni wa matibabu na kushindwa kutolewa taarifa ya ugonjwa huu kwa wakati.
-
Iran: Utawala wa kizayuni hauna mpaka katika kutenda jinai
Nov 23, 2025 11:19Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala haramu wa Israel hauna mpaka katika kutenda jinai na wqala hauheshimu ahadi wala sheria yoyote ya kimataifa.
-
Sera za vikwazo dhidi ya Cuba: Mfano wa mbinu ya mabavu ya Washington katika kuamiliana na nchi nyingine
Nov 23, 2025 10:46Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa vikwazo vya Marekani vimeifanya hali ya kibinadamu nchini Cuba kuwa mbaya sana na ametaka kuondolewa haraka vikwazo hivyo.
-
Jeshi la Sudan lakabiliana vikali na kikosi cha RSF huko Kordofan; raia wazidi kutaabika
Nov 23, 2025 09:33Jeshi la Sudan limekabiliana vikali mapiganoni dhidi ya wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika medani tofauti za vita huko Kordofan ya Kaskazini na Magharibi huku makumi ya maelfu ya raia wakiendelea kukimbia machafuko na mapigano yanayoshtadi kila uchao.
-
Global Citizen: Mkutano wa G20 umefikia malengo licha ya mivutano
Nov 23, 2025 08:56Afrika Kusini imefikia malengo muhimu katika mkutano wa kilele wa kundi la mataifa tajiri na yale yanayoinukia kiuchumi duniani G20 licha ya mivutano ya kimataifa. Hayo yameelezwa na shirika la hisani la Global Citizen.
-
Iran: Utawala wa kizayuni hauna mpaka katika kutenda jinai
Nov 23, 2025 08:36Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala haramu wa Israel hauna mpaka katika kutenda jinai na wqala hauheshimu ahadi wala sheria yoyote ya kimataifa.
-
Venezuela: Tutatoa jibu kali kwa uvamizi wowote wa Marekani dhidi yetu
Nov 23, 2025 08:35Waziri wa Ulinzi wa Venezuela amesema kuwa, nchi yake imesimama kidete dhidi ya vitisho vyote vya hivi karibuni vya kijeshi vya Marekani.
-
Ripoti: Hujuma dhidi ya Misikiti Uholanzi zimeongezeka
Nov 23, 2025 08:35Ripoti mpya imeonesha kuwa matukio ya vurugu na hujuma dhidi ya misikiti nchini Uholanzi yameongezeka kwa kiwango kikubwa katika kipindi cha muongo mmoja uliopita. Hayo ni kwa mujibu wa utafiti wa mtandao wa misikiti K9.