-
Ni yepi matokeo ya kujiuzulu waziri wa mikakati wa utawala wa Kizayuni?
Nov 12, 2025 05:16Waziri wa masuala ya mikakati wa utawala wa Kizayuni na ambaye ni mtu wa karibu na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, amejiuzulu. Ron Dermer, ametangaza kujiuzulu kwa kumtumia barua rasmi Netanyahu.
-
Shirika la Umoja wa Mataifa: Kuna Ushahidi wa matumizi ya kimfumo ya ubakaji nchini Sudan
Nov 12, 2025 04:09Shirika la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Wanawake limeonya kwamba kuna "ushahidi unaoongezeka kwamba ubakaji unatumika kwa makusudi na kwa utaratibu maalumu" nchini Sudan, huku njaa na ukosefu wa usalama wa chakula vikiendelea kutesa watu nchini humo.
-
Larijani: Hakuna ujumbe mpya uliotumwa Marekani
Nov 12, 2025 04:08Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amepuuzilia mbali ripoti kwamba kumekuwepo mawasiliano mapya kati ya Tehran na Washington na kusisitiza kuwa hakuna ujumbe mpya uliowasilishwa kwa Marekani.
-
Mfuasi wa zamani wa Mchungaji Mackenzie: Nilitoa tahadhari kuhusu mauaji ya Shakahola, sikusikilizwa
Nov 12, 2025 04:03Aliyekuwa mfuasi wa Mchungaji Paul Mackenzie, kiongozi wa Kanisa la Good News International (GNI) amefichua jinsi alivyotoa onya kuhusu mauaji ya Shakahola lakini hakusiikilizwa na vyombo husika.
-
Hamas: Kumbukumbu ya kuuawa Arafat ni kielelezo cha mwendelezo wa uhalifu wa Israel
Nov 12, 2025 02:32Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba maadhimisho ya kumbukumbu ya siku ya kuuawa Rais wa zamani wa Palestina, Yasser Arafat, yanatukumbusha kwamba "uhalifu wa kuzingirwa uliomlenga Arafat bado unaendelea dhidi ya watu wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Gaza."
-
Hizbullah yasema silaha ni muhimu kwa ulinzi wa Lebanon, haitasalimu amri kwa Marekani au Israel
Nov 12, 2025 01:54Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba wito wa Marekani na Israel wa kupokonya silaha kundi hilo la mapambano na muqawama unakusudiwa kuidhoofisha Lebanon na kuiacha ikikabiliwa na uvamizi wa kigeni.
-
Ethiopia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi 2027
Nov 11, 2025 23:41Ethiopia imeishinda Nigeria na hivyo kutangazwa kuwa nchi mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya Tabianchi uliopangwa kufanyika mwaka 2027.
-
Bandari ya Chabahar ya Iran kuwa lango la chai na kahawa ya Kenya kuelekea masoko ya Asia ya Kati
Nov 11, 2025 23:10Kenya inatazamia kutumia uwezo wa bandari ya Chabahar ya Iran na kama kitovu cha kanda kwa ajili ya uagizaji na usambazaji wa chai na kahawa.
-
Hamas yalaani mswada wa kifashisti na kikatili wa Bunge la Israel wa kuwanyonga Wapalestina
Nov 11, 2025 23:02Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Wapalestina, Hamas, imelaani vikali hatua ya Bunge la Israel (Knesset) kupitisha kwa mara ya kwanza mswada unaoruhusu kunyongwa kwa Wapalestina waliotekwa, ikikitaja kama mwendelezo wa sera za kibaguzi na jinai za utawala wa Kizayuni.
-
Zaidi ya asilimia 70 ya Wasudan wanaishi chini ya kiwango cha umaskini
Nov 11, 2025 23:01Umaskini nchini Sudan umeongezeka zaidi ya mara tatu tangu kuanza kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe mnamo Aprili 2023. Hayo ni kwa mujibu wa Waziri wa Ustawi wa Jamii, Mutasim Ahmed Saleh.