-
Ukumbi wa Tamthilia wa Uhuru wa Ukingo wa Magharibi ulioharibiwa na Israel wateuliwa kwa Tuzo ya Amani ya Nobel
Feb 15, 2024 04:20Ukumbi wa tamthilia wa Uhuru ulioharibiwa kwa risasi za jeshi za Israel huko Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu umeteuliwa kwa ajili ya Tuzo ya Amani ya Nobel huku Wapalestina wakitumai kuwa, kituo hicho cha masuala ya kitamaduni kitaendelea kuzalisha wapigania uhuru kupitia sanaa kutoka ndani ya kambi ya wakimbizi ya Jenin.
-
Hizbullah yaapa kujibu mashambulizi ya Israel yaliyoua raia wakiwemo watoto wawili
Feb 15, 2024 04:19Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani mashambulizi ya hivi karibuni zaidi ya Israel kusini mwa Lebanon yaliyosababisha vifo vya watu kadhaa wakiwemo watoto wawili, ikiapa kwamba majibu ya harakati ya Muqawama ya Lebanon yako njiani.
-
Sababu ya kumalizika mazungumzo ya Cairo kuhusu vita vya Gaza bila ya kuwa na tija yoyote
Feb 15, 2024 03:52Mazungumzo ya Cairo ya kujadili kadhia ya mateka wa Israel na Palestina kwa lengo la kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano katika vita vya Gaza yamemalizika bila ya kupatikana tija yoyote.
-
Mashambulizi makubwa ya makombora kutoka Lebanon yazilenga ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel)
Feb 14, 2024 23:01Duru za habari zimetangaza kuwa mashambulizi makubwa ya makombora kutoka upande wa kusini mwa Lebanon yalifanyika katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za palestina jana Jumatano.
-
OIC yatahadharisha kuhusu mashambulizi ya Israel eneo la Rafah
Feb 14, 2024 08:23Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi la Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na upanuzi wa mashambulizi ya kiholela ya utawala huo kwenye mji wa Rafah, kusini mwa ukanda huo.
-
Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi
Feb 14, 2024 04:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kuburuzwa na nchi za kigeni na kusisitiza kuwa, hatima ya taifa la Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.
-
Nasrullah: Chimbuko la nguvu za muqawama ni Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 14, 2024 04:04Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelipongeza na kulishukuru Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) kwa kuiunga mkono kambi ya muqawama katika mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS
Feb 14, 2024 04:04Waziri Mkuu wa Israel amepuuzilia mbali pendekezo la mashirika ya kijasusi ya Mossad na Shin Bet ya utawala huo wa Kizayuni juu ya kufikia mapatano ya kubadilishana wafungwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).
-
'Uhalifu Dhidi ya Ubinadamu': Israel inawatesa na kuwanyanyasa mateka Wapalestina
Feb 13, 2024 23:17Kundi la kutetea haki za binadamu lenye makao yake makuu mjini Geneva, limesema kwamba vikosi vya utawala haramu wa Israel vimewaruhusu walowezi wa Kizayuni kushuhudia mateso na udhalilishaji wa Wapalestina waliokuwa wakizuiliwa kutoka Ukanda wa Gaza wakati huu utawala huo unapoendeleza vita vya mauaji ya kimbari katika eneo hilo.
-
Ripota Maalumu wa UN aikosoa Israel kwa kumzuia kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina
Feb 13, 2024 09:07Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ameishambulia vikali Israel kwa kumzuia kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel).