Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • PLO: Hakuna amani Mashariki ya Kati bila ya kuundwa dola huru la Palestina

    PLO: Hakuna amani Mashariki ya Kati bila ya kuundwa dola huru la Palestina

    Oct 26, 2018 04:35

    Msemaji wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, amani haiwezi kupatikana katika eneo la Mashariki ya Kati bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina mji mkuu wake ukiwa Quds tukufu.

  • Kuugawanya kimatumizi Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa kwa mahali na wakati kwa lengo la kuuyahudisha

    Kuugawanya kimatumizi Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa kwa mahali na wakati kwa lengo la kuuyahudisha

    Oct 25, 2018 08:17

    Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu mpaka wanaounga mkono njama za kuubomoa msikiti mtukufu wa Al-Asqa na kujenga mahali pake hekalu bandia la Kiyahudi wamependekeza mpango hatari na wa ubaguzi wa kimbari kwa madhumuni ya kupagawanya mahali hapo patakatifu.

  • 'Israel inahaha mbele ya uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon'

    'Israel inahaha mbele ya uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon'

    Oct 20, 2018 01:09

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Kidemokrasia kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni unahaha hivi sasa kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon na hauthubutu kuanzisha vita vingine.

  • Wapalestina 6 wauliwa shahidi na zaidi ya 190 wajeruhiwa katika Ijumaa ya

    Wapalestina 6 wauliwa shahidi na zaidi ya 190 wajeruhiwa katika Ijumaa ya "Intifadha ya Quds"

    Oct 13, 2018 03:39

    Wapalestina wasiopungua sita wameuliwa shahidi na wengine zaidi ya 190 wamejeruhiwa katika Ijumaa ya 29 ya maandamano ya "Haki ya Kurejea" yaliyofanyika kwa kaulimbiu ya "Intifadha ya Quds" huko Ukanda wa Gaza Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Ahmad Bahar: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Ahmad Bahar: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Oct 06, 2018 15:26

    Naibu Spika wa Bunge la Palestina amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel haiwezi kubadilisha ukweli wa mambo kwani Quds utaendelea kubakia kuwa mji mkuu wa daima wa Palestina.

  • Ijumaa, Septemba 28, 2018

    Ijumaa, Septemba 28, 2018

    Sep 28, 2018 02:22

    Leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 28, 2018 Milaadia.

  • Mamlaka ya Ndani Palestina: Marekani inapotosha historia ya Quds

    Mamlaka ya Ndani Palestina: Marekani inapotosha historia ya Quds

    Sep 14, 2018 23:59

    Msemaji wa serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa matamshi ya Jared Kushner ambaye ni msaidizi na mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani ni jitihada za kupotosha historia ya Palestina hususan ya mji wa Quds (Jerusalem) na maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo.

  • Hamas yaionya Israel isiendelee kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Hamas yaionya Israel isiendelee kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Sep 14, 2018 03:33

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel juu ya hatari ya kuendelea kuuvinjia heshima Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu na kusisitiza kuwa utawala huo dhalimu ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea.

  • Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina

    Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina

    Sep 12, 2018 07:49

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imesema kuwa Washington inaendeleza uadui wake dhidi ya wananchi wa Palestina kwa kustafidi na mbinu zote chafu.

  •  Indhari ya nchi tano za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Indhari ya nchi tano za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sep 11, 2018 04:17

    Nchi tano za Ulaya zimeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya utawala huo kuchukua uamuzi wa kubomoa kijiji cha Khan al Ahmar mashariki mwa mji mtakatifu wa Quds.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Rais Pezeshkian: Iran haifanyi mazungumzo iwe imezungumza tu, inataka tija inayoonekana

    Rais Pezeshkian: Iran haifanyi mazungumzo iwe imezungumza tu, inataka tija inayoonekana

    2 hours ago
  • Kwa kuwadia Ramadhani, mlowezi wa kizayuni auchoma moto Msahafu Baitul-Muqaddas

  • Vatican, Mexico nazo pia zaukataa uanachama katika 'Bodi ya Amani' ya Trump

  • Gabon yapiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii, yasema inachochea migawanyiko

  • Waziri Mkuu wa Slovakia: EU iko katika hali mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia yake

Chaguo La Mhariri
  • Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi

    Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi

    2 hours ago
  • Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran

    Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran

    10 hours ago
  • Viongozi wa Afrika watangaza mshikamano na watu wa Palestina

    Viongozi wa Afrika watangaza mshikamano na watu wa Palestina

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kiongozi Muadhamu amjibu Trump na kusema, Meli za kivita zinaweza kuzamishwa baharini

  • Kikosi cha Majini cha IRGC chafanya luteka Ghuba ya Uajemi, Hormuz

  • Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran

  • Iran, US zakamilisha duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya nyuklia, Geneva

  • Wakenya: Mradi wa kilimo wa Israel Nakuru ni mwanzo wa unyakuzi wa ardhi zetu

  • Somalia kuanza kutoa pasipoti za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

  • Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'

  • Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

  • Sheikh Qassem: Hizbullah haina lengo la kuanzisha vita, lakini kamwe haitasalimu amri

  • Idadi ya waliofariki dunia kutokana na kimbunga nchini Madagascar imefikia 59

  • Kremlin: Jeshi la majini la Russia kuzima 'uharamia' wa Magharibi

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS