-
PLO: Hakuna amani Mashariki ya Kati bila ya kuundwa dola huru la Palestina
Oct 26, 2018 04:35Msemaji wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, amani haiwezi kupatikana katika eneo la Mashariki ya Kati bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina mji mkuu wake ukiwa Quds tukufu.
-
Kuugawanya kimatumizi Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa kwa mahali na wakati kwa lengo la kuuyahudisha
Oct 25, 2018 08:17Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu mpaka wanaounga mkono njama za kuubomoa msikiti mtukufu wa Al-Asqa na kujenga mahali pake hekalu bandia la Kiyahudi wamependekeza mpango hatari na wa ubaguzi wa kimbari kwa madhumuni ya kupagawanya mahali hapo patakatifu.
-
'Israel inahaha mbele ya uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon'
Oct 20, 2018 01:09Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Kidemokrasia kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni unahaha hivi sasa kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon na hauthubutu kuanzisha vita vingine.
-
Wapalestina 6 wauliwa shahidi na zaidi ya 190 wajeruhiwa katika Ijumaa ya "Intifadha ya Quds"
Oct 13, 2018 03:39Wapalestina wasiopungua sita wameuliwa shahidi na wengine zaidi ya 190 wamejeruhiwa katika Ijumaa ya 29 ya maandamano ya "Haki ya Kurejea" yaliyofanyika kwa kaulimbiu ya "Intifadha ya Quds" huko Ukanda wa Gaza Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Ahmad Bahar: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina
Oct 06, 2018 15:26Naibu Spika wa Bunge la Palestina amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel haiwezi kubadilisha ukweli wa mambo kwani Quds utaendelea kubakia kuwa mji mkuu wa daima wa Palestina.
-
Ijumaa, Septemba 28, 2018
Sep 28, 2018 02:22Leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 28, 2018 Milaadia.
-
Mamlaka ya Ndani Palestina: Marekani inapotosha historia ya Quds
Sep 14, 2018 23:59Msemaji wa serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa matamshi ya Jared Kushner ambaye ni msaidizi na mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani ni jitihada za kupotosha historia ya Palestina hususan ya mji wa Quds (Jerusalem) na maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo.
-
Hamas yaionya Israel isiendelee kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Sep 14, 2018 03:33Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel juu ya hatari ya kuendelea kuuvinjia heshima Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu na kusisitiza kuwa utawala huo dhalimu ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea.
-
Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina
Sep 12, 2018 07:49Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imesema kuwa Washington inaendeleza uadui wake dhidi ya wananchi wa Palestina kwa kustafidi na mbinu zote chafu.
-
Indhari ya nchi tano za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Sep 11, 2018 04:17Nchi tano za Ulaya zimeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya utawala huo kuchukua uamuzi wa kubomoa kijiji cha Khan al Ahmar mashariki mwa mji mtakatifu wa Quds.