-
Ijumaa, Septemba 28, 2018
Sep 27, 2018 22:52Leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 28, 2018 Milaadia.
-
Mamlaka ya Ndani Palestina: Marekani inapotosha historia ya Quds
Sep 14, 2018 19:29Msemaji wa serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa matamshi ya Jared Kushner ambaye ni msaidizi na mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani ni jitihada za kupotosha historia ya Palestina hususan ya mji wa Quds (Jerusalem) na maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo.
-
Hamas yaionya Israel isiendelee kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Sep 13, 2018 23:03Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel juu ya hatari ya kuendelea kuuvinjia heshima Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu na kusisitiza kuwa utawala huo dhalimu ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea.
-
Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina
Sep 12, 2018 03:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imesema kuwa Washington inaendeleza uadui wake dhidi ya wananchi wa Palestina kwa kustafidi na mbinu zote chafu.
-
Indhari ya nchi tano za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Sep 10, 2018 23:47Nchi tano za Ulaya zimeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya utawala huo kuchukua uamuzi wa kubomoa kijiji cha Khan al Ahmar mashariki mwa mji mtakatifu wa Quds.
-
Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqswa
Aug 27, 2018 10:23Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wamevamia Msikiti wa al-Aqswa wakiwa wanasaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.
-
Indhari ya Wapalestina kuhusu kugawanywa msikiti wa al Aqsa
Aug 27, 2018 03:02Idara ya Waqfu ya Quds na inayosimamia msikiti wa al Aqsa imesisitiza kuwa msikiti huo ni sehemu takatifu kiimani na kiitikadi ya kila Muislamu isiyoweza kugawanywa wala kuwa na ubia.
-
Idara ya Waqfu ya Baitul Muqaddas: Msikiti wa Al-Aqsa ni sehemu ya itikadi ya kila Muislamu
Aug 26, 2018 10:23Idara ya Waqfu ya Quds na masuala ya msikiti wa Al-Aqsa imesisitiza kuwa msikiti huo mtukufu ni sehemu ya asili ya itikadi ya kila Muislamu na kwa hivyo hauwezi kugawanywa wala kuwashirikisha watu wengine.
-
OIC yasisitiza kuhifadhiwa hali ya kihistoria ya Masjidul al-Aqswa
Aug 21, 2018 23:11Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza juu ya udharura wa kulindwa na kuhifadhiwa hali ya kihistoria ya Msikiti wa al-Aqswa licha ya kuendelea hujuma, uvamizi na jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya msikiti huo mtakatifu.
-
Jumanne tarehe 21 Agosti, 2018
Aug 20, 2018 22:23Leo ni tarehe 9 Dhulhija 1439 Hijria sawa na Agosti 21, 2018.