-
Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqswa
Aug 27, 2018 14:53Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wamevamia Msikiti wa al-Aqswa wakiwa wanasaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.
-
Indhari ya Wapalestina kuhusu kugawanywa msikiti wa al Aqsa
Aug 27, 2018 07:32Idara ya Waqfu ya Quds na inayosimamia msikiti wa al Aqsa imesisitiza kuwa msikiti huo ni sehemu takatifu kiimani na kiitikadi ya kila Muislamu isiyoweza kugawanywa wala kuwa na ubia.
-
Idara ya Waqfu ya Baitul Muqaddas: Msikiti wa Al-Aqsa ni sehemu ya itikadi ya kila Muislamu
Aug 26, 2018 14:53Idara ya Waqfu ya Quds na masuala ya msikiti wa Al-Aqsa imesisitiza kuwa msikiti huo mtukufu ni sehemu ya asili ya itikadi ya kila Muislamu na kwa hivyo hauwezi kugawanywa wala kuwashirikisha watu wengine.
-
OIC yasisitiza kuhifadhiwa hali ya kihistoria ya Masjidul al-Aqswa
Aug 22, 2018 03:41Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza juu ya udharura wa kulindwa na kuhifadhiwa hali ya kihistoria ya Msikiti wa al-Aqswa licha ya kuendelea hujuma, uvamizi na jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya msikiti huo mtakatifu.
-
Jumanne tarehe 21 Agosti, 2018
Aug 21, 2018 02:53Leo ni tarehe 9 Dhulhija 1439 Hijria sawa na Agosti 21, 2018.
-
Hamas: Mapambano na Israel yataendelea hadi Palestina ikombolewe kikamilifu
Aug 20, 2018 14:10Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kuwa, falsafa ya mapambano na utawala wa Kizayuni wa Israel imejengeka katika msingi wa kufikia lengo la ukombozi wa ardhi za Palestina na kuwatimua Wazayuni maghasibu kutoka ardhi takatifu za Kiislamu na Kikristo hasa mji wa Quds na Msikiti wa Al Aqsa.
-
Jihadul Islami: Saudia na Imarati zinashirikiana na Marekani kuikandamiza Palestina
Aug 09, 2018 04:25Mwakilishi wa harakati ya Jihad al Islami ya Palestina nchini Iran amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), zinashiriki waziwazi katika 'Mapatano ya Karne' ambayo yameandaliwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuliangamiza taifa la Palestina
-
Israel yabomoa kituo cha watoto wa Kipalestina mashariki wa mji wa Quds
Jul 26, 2018 03:06Duru za habari kutoka Palestina zimeripoti kwamba maboldoza ya utawala haramu wa Kizayuni, yamebomoa kituo cha kulelea watoto wadogo pamoja na kituo cha wanawake katika eneo la Jabal al Baba karibu na mji wa al-Eizariya, mashariki mwa mji wa Quds.
-
Mawe ya ukuta wa msikiti wa al-Aqswa yaporomoka kutokana na mashimo ya Wazayuni
Jul 24, 2018 08:02Mashimo yanayoendelea kuchimbwa na utawala wa Kizayuni katika eneo la magharibi mwa ukuta wa msikiti wa al-Aqsa, yamepelekea kuporomoka kwa mawe ya ukuta huo.
-
Walowezi 1000 wa Kizayuni wakishambulia tena kibla cha kwanza cha Waislamu
Jul 22, 2018 13:57Kwa mara nyingine tena walowezi zaidi ya 1000 wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa al Aqsa ulioko katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.