-
Mufti wa Quds atahadharisdha kuhusu hali mbaya ya Msikiti wa Quds
Jul 19, 2018 16:59Mufti wa Msikiti mtakatifu wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya msikiti huo ambacho ndicho kibla cha kwanza cha Waislamu kote duniani.
-
Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas: Ni haramu kuwapatia maadui ardhi za Palestina
Jul 11, 2018 07:40Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ametangaza kuwa, kuwapatia maadui ardhi za Palestina ambazo ni mali ya Wapalestina ni haramu.
-
Mkutano wa Kimataifa wa Quds wafanyika nchini Morocco
Jun 27, 2018 08:14Mkutano wa Tano wa Kimataifa kuhusu Quds umefanyika mjini Rabat, Morocco na kuhudhuriwa na wataalamu kadhaa wa kimataifa.
-
Wimbi jipya la hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa
Jun 27, 2018 02:12Duru za habari zimeripoti kuhusu kushadidi hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa katika siku za hivi karibuni sambamba na harakati za Marekani za kutaka kutekeleza mpango wake wenye njama kubwa unaojuliakana kama "Muamala wa Karne".
-
Ethiopia yakanusha madai ya kuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu
Jun 12, 2018 13:58Serikali ya Ethiopia imekadhibisha vikali madai kuwa inapanga kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds, kutoka Tel Aviv.
-
Wapalestina watolewa wito wa kushiriki kwa wingi maandamano ya Ijumaa ya "Huruma na Usawa"
Jun 12, 2018 03:53Jopo la taifa la maandamano ya Haki ya Kurejea na Kuondolewa Mzingiro wa Ukanda wa Gaza limetoa wito kwa Wapalestina wa matabaka mbalimbali kushiriki kwa wingi kwenye maandamano ya siku ya Ijumaa yaliyopewa jina la Ijumaa ya "Huruma na Usawa" sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Idul-Fitri.
-
Utajiri wa Imarati (UAE) na Saudia unatumikia malengo ya Wazayuni
Jun 10, 2018 16:49Naibu wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu amesema, pesa za Imarati (UAE) na Saudi Arabia zinatumiwa kwenye mipango na njama za utawala ghasibu wa Israel kwa lengo la kununua milki za ardhi na majengo za Wapalestina kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.
-
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Kenya 2018
Jun 09, 2018 13:08Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Kenya.
-
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Tanzania 2018
Jun 09, 2018 12:59Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Tanzania.
-
Maelefu ya Wapalestina washiriki Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds
Jun 08, 2018 13:53Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.