Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mufti wa Quds atahadharisdha kuhusu hali mbaya ya Msikiti wa Quds

    Mufti wa Quds atahadharisdha kuhusu hali mbaya ya Msikiti wa Quds

    Jul 19, 2018 16:59

    Mufti wa Msikiti mtakatifu wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya msikiti huo ambacho ndicho kibla cha kwanza cha Waislamu kote duniani.

  • Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas:  Ni haramu kuwapatia maadui ardhi za Palestina

    Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas: Ni haramu kuwapatia maadui ardhi za Palestina

    Jul 11, 2018 07:40

    Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ametangaza kuwa, kuwapatia maadui ardhi za Palestina ambazo ni mali ya Wapalestina ni haramu.

  • Mkutano wa Kimataifa wa Quds wafanyika nchini Morocco

    Mkutano wa Kimataifa wa Quds wafanyika nchini Morocco

    Jun 27, 2018 08:14

    Mkutano wa Tano wa Kimataifa kuhusu Quds umefanyika mjini Rabat, Morocco na kuhudhuriwa na wataalamu kadhaa wa kimataifa.

  • Wimbi jipya la hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Wimbi jipya la hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Jun 27, 2018 02:12

    Duru za habari zimeripoti kuhusu kushadidi hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa katika siku za hivi karibuni sambamba na harakati za Marekani za kutaka kutekeleza mpango wake wenye njama kubwa unaojuliakana kama "Muamala wa Karne".

  • Ethiopia yakanusha madai ya kuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu

    Ethiopia yakanusha madai ya kuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu

    Jun 12, 2018 13:58

    Serikali ya Ethiopia imekadhibisha vikali madai kuwa inapanga kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds, kutoka Tel Aviv.

  • Wapalestina watolewa wito wa kushiriki kwa wingi maandamano ya Ijumaa ya

    Wapalestina watolewa wito wa kushiriki kwa wingi maandamano ya Ijumaa ya "Huruma na Usawa"

    Jun 12, 2018 03:53

    Jopo la taifa la maandamano ya Haki ya Kurejea na Kuondolewa Mzingiro wa Ukanda wa Gaza limetoa wito kwa Wapalestina wa matabaka mbalimbali kushiriki kwa wingi kwenye maandamano ya siku ya Ijumaa yaliyopewa jina la Ijumaa ya "Huruma na Usawa" sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Idul-Fitri.

  • Utajiri wa Imarati (UAE) na Saudia unatumikia malengo ya Wazayuni

    Utajiri wa Imarati (UAE) na Saudia unatumikia malengo ya Wazayuni

    Jun 10, 2018 16:49

    Naibu wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu amesema, pesa za Imarati (UAE) na Saudi Arabia zinatumiwa kwenye mipango na njama za utawala ghasibu wa Israel kwa lengo la kununua milki za ardhi na majengo za Wapalestina kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.

  • Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Kenya 2018

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Kenya 2018

    Jun 09, 2018 13:08

    Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Kenya.

  • Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Tanzania 2018

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Tanzania 2018

    Jun 09, 2018 12:59

    Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Tanzania.

  • Maelefu ya Wapalestina washiriki Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds

    Maelefu ya Wapalestina washiriki Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds

    Jun 08, 2018 13:53

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

    Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

    14 hours ago
  • Umoja wa Mataifa: Israel inaendeleza 'hatua za taratibu' kunyakua Ukingo wa Magharibi

  • CPJ: Waandishi wa Habari wa Kipalestina wanateswa katika magereza ya Israel

  • Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"

  • Wakenya zaidi ya 1,000 wanashiriki katika vita vya Russia na Ukraine

Chaguo La Mhariri
  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    16 hours ago
  • Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika

    Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika

    23 hours ago
  • Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi

    Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran

  • Russia yaonya shambulizi dhidi ya Iran linaweza kuwasha moto wa kikanda

  • Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"

  • Manuva ya kijeshi ya Iran na Russia kufanyika leo katika Bahari ya Oman

  • Waziri Mkuu wa Slovakia: EU iko katika hali mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia yake

  • Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'

  • Rais Pezeshkian: Iran haifanyi mazungumzo iwe imezungumza tu, inataka tija inayoonekana

  • Vatican, Mexico nazo pia zaukataa uanachama katika 'Bodi ya Amani' ya Trump

  • Njama za Israel zimeisukuma Iran kujitegemea katika sekta ya nyuklia

  • Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS