Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Hamas: Mapambano na Israel yataendelea hadi Palestina ikombolewe kikamilifu

    Hamas: Mapambano na Israel yataendelea hadi Palestina ikombolewe kikamilifu

    Aug 20, 2018 09:40

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kuwa, falsafa ya mapambano na utawala wa Kizayuni wa Israel imejengeka katika msingi wa kufikia lengo la ukombozi wa ardhi za Palestina na kuwatimua Wazayuni maghasibu kutoka ardhi takatifu za Kiislamu na Kikristo hasa mji wa Quds na Msikiti wa Al Aqsa.

  • Jihadul Islami: Saudia na Imarati zinashirikiana na Marekani kuikandamiza Palestina

    Jihadul Islami: Saudia na Imarati zinashirikiana na Marekani kuikandamiza Palestina

    Aug 08, 2018 23:55

    Mwakilishi wa harakati ya Jihad al Islami ya Palestina nchini Iran amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), zinashiriki waziwazi katika 'Mapatano ya Karne' ambayo yameandaliwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuliangamiza taifa la Palestina

  • Israel yabomoa kituo cha watoto wa Kipalestina mashariki wa mji wa Quds

    Israel yabomoa kituo cha watoto wa Kipalestina mashariki wa mji wa Quds

    Jul 25, 2018 22:36

    Duru za habari kutoka Palestina zimeripoti kwamba maboldoza ya utawala haramu wa Kizayuni, yamebomoa kituo cha kulelea watoto wadogo pamoja na kituo cha wanawake katika eneo la Jabal al Baba karibu na mji wa al-Eizariya, mashariki mwa mji wa Quds.

  • Mawe ya ukuta wa msikiti wa al-Aqswa yaporomoka kutokana na mashimo ya Wazayuni

    Mawe ya ukuta wa msikiti wa al-Aqswa yaporomoka kutokana na mashimo ya Wazayuni

    Jul 24, 2018 03:32

    Mashimo yanayoendelea kuchimbwa na utawala wa Kizayuni katika eneo la magharibi mwa ukuta wa msikiti wa al-Aqsa, yamepelekea kuporomoka kwa mawe ya ukuta huo.

  • Walowezi 1000 wa Kizayuni wakishambulia tena kibla cha kwanza cha Waislamu

    Walowezi 1000 wa Kizayuni wakishambulia tena kibla cha kwanza cha Waislamu

    Jul 22, 2018 09:27

    Kwa mara nyingine tena walowezi zaidi ya 1000 wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa al Aqsa ulioko katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Mufti wa Quds atahadharisdha kuhusu hali mbaya ya Msikiti wa Quds

    Mufti wa Quds atahadharisdha kuhusu hali mbaya ya Msikiti wa Quds

    Jul 19, 2018 12:29

    Mufti wa Msikiti mtakatifu wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya msikiti huo ambacho ndicho kibla cha kwanza cha Waislamu kote duniani.

  • Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas:  Ni haramu kuwapatia maadui ardhi za Palestina

    Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas: Ni haramu kuwapatia maadui ardhi za Palestina

    Jul 11, 2018 03:10

    Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ametangaza kuwa, kuwapatia maadui ardhi za Palestina ambazo ni mali ya Wapalestina ni haramu.

  • Mkutano wa Kimataifa wa Quds wafanyika nchini Morocco

    Mkutano wa Kimataifa wa Quds wafanyika nchini Morocco

    Jun 27, 2018 03:44

    Mkutano wa Tano wa Kimataifa kuhusu Quds umefanyika mjini Rabat, Morocco na kuhudhuriwa na wataalamu kadhaa wa kimataifa.

  • Wimbi jipya la hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Wimbi jipya la hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Jun 26, 2018 21:42

    Duru za habari zimeripoti kuhusu kushadidi hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa katika siku za hivi karibuni sambamba na harakati za Marekani za kutaka kutekeleza mpango wake wenye njama kubwa unaojuliakana kama "Muamala wa Karne".

  • Ethiopia yakanusha madai ya kuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu

    Ethiopia yakanusha madai ya kuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu

    Jun 12, 2018 09:28

    Serikali ya Ethiopia imekadhibisha vikali madai kuwa inapanga kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds, kutoka Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje

    Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje

    5 hours ago
  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Mlipuko wa Ebola waongeza mateso kwa wananchi wa mashariki mwa DRC

  • Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    6 hours ago
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    11 hours ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

  • Afrika Kusini yaapa kukabiliana vikali na ukatili dhidi ya wahamiaji

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS