Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Maandamano ya Siku ya Quds yanafanyika katika miji 900 ya Iran na miji 800 kote duniani

    Maandamano ya Siku ya Quds yanafanyika katika miji 900 ya Iran na miji 800 kote duniani

    Jun 08, 2018 07:59

    Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yanafanyika leo Ijumaa katika miji 900 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na katika miji mikubwa na midogo zaidi ya 800 kote duniani.

  • Velayati: Muqawama wa Palestina umeidhoofisha mno Israel

    Velayati: Muqawama wa Palestina umeidhoofisha mno Israel

    Jun 08, 2018 07:27

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema harakati za muqawama wa Palestina zimeudhoofisha utawala wa Kizayuni, na kuandaa mazingira ya kupata ushindi mkubwa dhidi ya Tel Aviv.

  • (Hatua kwa Hatua Hadi Siku ya Quds) Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

    (Hatua kwa Hatua Hadi Siku ya Quds) Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 08, 2018 06:08

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatatu ya wiki hii alitoa hotuba muhimu katika Haram ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo moja ya nukta muhimu zilizojikita kwenye hotuba yake hiyo ni kadhia ya Palestina na hasa Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo inaadhimishwa leo Ijumaa kote ulimwenguni.

  • Netanyahu: Ni makosa maandamano ya Siku ya Quds kufanyika London na katika miji mingine muhimu duniani

    Netanyahu: Ni makosa maandamano ya Siku ya Quds kufanyika London na katika miji mingine muhimu duniani

    Jun 08, 2018 04:36

    Wakati Waislamu na watetezi wa haki na uadilifu duniani kote wanajiandaa kushiriki kwenye maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds hii leo, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema anatiwa wasiwasi na kufanyika maandamano hayo katika nchi mbalimbali duniani.

  • Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Macho ya walimwengu yameelekezwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Quds

    Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Macho ya walimwengu yameelekezwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 08, 2018 04:36

    Imam na Khatibu wa msikiti wa Al-Aqsa amesisitiza kuwa mamlaka ya msikiti huo yatabaki kuwa mikononi mwa Waislamu na kwamba wanaovamia na kukivunjia heshima kibla hicho cha kwanza cha Waislamu hawatopata faida yoyote.

  • Kenya yatakiwa kukata uhusiano na utawala pandikizi wa Israel +SAUTI

    Kenya yatakiwa kukata uhusiano na utawala pandikizi wa Israel +SAUTI

    Jun 07, 2018 14:58

    Wanaharakati wa vuguvugu la Muungano wa Kenya na Palestina wameapa kuishinikiza serikali kusitisha uhusiano na serikali ya kidhalimu ya Israel na washirika wake wa karibu kama vile Marekani, baada ya madola hayo kuendeleza hujuma za wazi dhidi ya Wapalestina na kuikalia ardhi yao kwa mabavu.

  • Mahojiano na Mwenyekiti wa Harakati ya Kenya na Palestina  kuhusu Siku ya Quds+SAUTI

    Mahojiano na Mwenyekiti wa Harakati ya Kenya na Palestina kuhusu Siku ya Quds+SAUTI

    Jun 07, 2018 14:01

    Mwandishi wa Radio Tehran mjini Mombasa, Seifullah Murtadha amezungumza na Mwenyekiti wa Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina, Bw. Abdulqadir Nasser kuhusu umuhimu wa Siku ya Quds.

  • Alkhamisi, Julai 7, 2018

    Alkhamisi, Julai 7, 2018

    Jun 07, 2018 06:11

    Leo ni Alkhamisi tarehe 22 Ramadhani 1439 Hijria, sawa na tarehe 7 Juni 2018 Miladia.

  • Maulama na shakhsia wa Kisuni Afghanistan waunga mkono mwito wa Imam Khomeini kuhusu siku ya Quds

    Maulama na shakhsia wa Kisuni Afghanistan waunga mkono mwito wa Imam Khomeini kuhusu siku ya Quds

    Jun 06, 2018 14:46

    Maulama na shakhsia mbalimbali wa Kisuni nchini Afghanistan sambamba na kuunga mkono mwito wa Imam Ruhullah Khomein (MA) Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na siku ya kimataifa ya Quds, wameutaka umma wa Kiislamu kusimama pamoja na taifa madhlum la Palestina katika siku hiyo.

  • Marekani, Israel, Saudia zachochea machafuko Jordan kwa kupinga kuhamishiwa ubalozi wa Marekani mjini Quds

    Marekani, Israel, Saudia zachochea machafuko Jordan kwa kupinga kuhamishiwa ubalozi wa Marekani mjini Quds

    Jun 06, 2018 02:34

    Gazeti moja la utawala wa Kizayuni wa Israel limefichua kuwa, Israel, Marekani, Saudi Arabia na baadhi ya nchi nyingine za Kiarabu zinahusika katika machafuko yanayoendelea nchini Jordan kutokana na nchi hiyo kushiriki katika kikao cha kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani uliokuweko Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Kiongozi Muadhamu ahudhuria hafla ya Qur'ani siku ya kwanza ya Ramadhani

    Kiongozi Muadhamu ahudhuria hafla ya Qur'ani siku ya kwanza ya Ramadhani

    2 hours ago
  • Wachunguzi wa UN: Yumkini mauaji ya halaiki yamefanyika El-Fasher

  • Magaidi wa Lakurawa waua watu 34 kaskazini mwa Nigeria

  • Rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa maisha jela

  • Waholanzi 640 waliohudumu katika jeshi la Israel Gaza kushtakiwa?

Chaguo La Mhariri
  • Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump

    Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump

    2 hours ago
  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    19 hours ago
  • Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika

    Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Russia yaonya shambulizi dhidi ya Iran linaweza kuwasha moto wa kikanda

  • Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"

  • Manuva ya kijeshi ya Iran na Russia kufanyika leo katika Bahari ya Oman

  • Waziri Mkuu wa Slovakia: EU iko katika hali mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia yake

  • Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'

  • Rais Pezeshkian: Iran haifanyi mazungumzo iwe imezungumza tu, inataka tija inayoonekana

  • Vatican, Mexico nazo pia zaukataa uanachama katika 'Bodi ya Amani' ya Trump

  • Njama za Israel zimeisukuma Iran kujitegemea katika sekta ya nyuklia

  • Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

  • Gabon yapiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii, yasema inachochea migawanyiko

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS