-
Maandamano ya Siku ya Quds yanafanyika katika miji 900 ya Iran na miji 800 kote duniani
Jun 08, 2018 07:59Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yanafanyika leo Ijumaa katika miji 900 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na katika miji mikubwa na midogo zaidi ya 800 kote duniani.
-
Velayati: Muqawama wa Palestina umeidhoofisha mno Israel
Jun 08, 2018 07:27Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema harakati za muqawama wa Palestina zimeudhoofisha utawala wa Kizayuni, na kuandaa mazingira ya kupata ushindi mkubwa dhidi ya Tel Aviv.
-
(Hatua kwa Hatua Hadi Siku ya Quds) Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 08, 2018 06:08Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatatu ya wiki hii alitoa hotuba muhimu katika Haram ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo moja ya nukta muhimu zilizojikita kwenye hotuba yake hiyo ni kadhia ya Palestina na hasa Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo inaadhimishwa leo Ijumaa kote ulimwenguni.
-
Netanyahu: Ni makosa maandamano ya Siku ya Quds kufanyika London na katika miji mingine muhimu duniani
Jun 08, 2018 04:36Wakati Waislamu na watetezi wa haki na uadilifu duniani kote wanajiandaa kushiriki kwenye maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds hii leo, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema anatiwa wasiwasi na kufanyika maandamano hayo katika nchi mbalimbali duniani.
-
Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Macho ya walimwengu yameelekezwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 08, 2018 04:36Imam na Khatibu wa msikiti wa Al-Aqsa amesisitiza kuwa mamlaka ya msikiti huo yatabaki kuwa mikononi mwa Waislamu na kwamba wanaovamia na kukivunjia heshima kibla hicho cha kwanza cha Waislamu hawatopata faida yoyote.
-
Kenya yatakiwa kukata uhusiano na utawala pandikizi wa Israel +SAUTI
Jun 07, 2018 14:58Wanaharakati wa vuguvugu la Muungano wa Kenya na Palestina wameapa kuishinikiza serikali kusitisha uhusiano na serikali ya kidhalimu ya Israel na washirika wake wa karibu kama vile Marekani, baada ya madola hayo kuendeleza hujuma za wazi dhidi ya Wapalestina na kuikalia ardhi yao kwa mabavu.
-
Mahojiano na Mwenyekiti wa Harakati ya Kenya na Palestina kuhusu Siku ya Quds+SAUTI
Jun 07, 2018 14:01Mwandishi wa Radio Tehran mjini Mombasa, Seifullah Murtadha amezungumza na Mwenyekiti wa Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina, Bw. Abdulqadir Nasser kuhusu umuhimu wa Siku ya Quds.
-
Alkhamisi, Julai 7, 2018
Jun 07, 2018 06:11Leo ni Alkhamisi tarehe 22 Ramadhani 1439 Hijria, sawa na tarehe 7 Juni 2018 Miladia.
-
Maulama na shakhsia wa Kisuni Afghanistan waunga mkono mwito wa Imam Khomeini kuhusu siku ya Quds
Jun 06, 2018 14:46Maulama na shakhsia mbalimbali wa Kisuni nchini Afghanistan sambamba na kuunga mkono mwito wa Imam Ruhullah Khomein (MA) Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na siku ya kimataifa ya Quds, wameutaka umma wa Kiislamu kusimama pamoja na taifa madhlum la Palestina katika siku hiyo.
-
Marekani, Israel, Saudia zachochea machafuko Jordan kwa kupinga kuhamishiwa ubalozi wa Marekani mjini Quds
Jun 06, 2018 02:34Gazeti moja la utawala wa Kizayuni wa Israel limefichua kuwa, Israel, Marekani, Saudi Arabia na baadhi ya nchi nyingine za Kiarabu zinahusika katika machafuko yanayoendelea nchini Jordan kutokana na nchi hiyo kushiriki katika kikao cha kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani uliokuweko Tel Aviv.