Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Kenya yatakiwa kukata uhusiano na utawala pandikizi wa Israel +SAUTI

    Kenya yatakiwa kukata uhusiano na utawala pandikizi wa Israel +SAUTI

    Jun 07, 2018 10:28

    Wanaharakati wa vuguvugu la Muungano wa Kenya na Palestina wameapa kuishinikiza serikali kusitisha uhusiano na serikali ya kidhalimu ya Israel na washirika wake wa karibu kama vile Marekani, baada ya madola hayo kuendeleza hujuma za wazi dhidi ya Wapalestina na kuikalia ardhi yao kwa mabavu.

  • Mahojiano na Mwenyekiti wa Harakati ya Kenya na Palestina  kuhusu Siku ya Quds+SAUTI

    Mahojiano na Mwenyekiti wa Harakati ya Kenya na Palestina kuhusu Siku ya Quds+SAUTI

    Jun 07, 2018 09:31

    Mwandishi wa Radio Tehran mjini Mombasa, Seifullah Murtadha amezungumza na Mwenyekiti wa Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina, Bw. Abdulqadir Nasser kuhusu umuhimu wa Siku ya Quds.

  • Alkhamisi, Julai 7, 2018

    Alkhamisi, Julai 7, 2018

    Jun 07, 2018 01:41

    Leo ni Alkhamisi tarehe 22 Ramadhani 1439 Hijria, sawa na tarehe 7 Juni 2018 Miladia.

  • Maulama na shakhsia wa Kisuni Afghanistan waunga mkono mwito wa Imam Khomeini kuhusu siku ya Quds

    Maulama na shakhsia wa Kisuni Afghanistan waunga mkono mwito wa Imam Khomeini kuhusu siku ya Quds

    Jun 06, 2018 10:16

    Maulama na shakhsia mbalimbali wa Kisuni nchini Afghanistan sambamba na kuunga mkono mwito wa Imam Ruhullah Khomein (MA) Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na siku ya kimataifa ya Quds, wameutaka umma wa Kiislamu kusimama pamoja na taifa madhlum la Palestina katika siku hiyo.

  • Marekani, Israel, Saudia zachochea machafuko Jordan kwa kupinga kuhamishiwa ubalozi wa Marekani mjini Quds

    Marekani, Israel, Saudia zachochea machafuko Jordan kwa kupinga kuhamishiwa ubalozi wa Marekani mjini Quds

    Jun 05, 2018 22:04

    Gazeti moja la utawala wa Kizayuni wa Israel limefichua kuwa, Israel, Marekani, Saudi Arabia na baadhi ya nchi nyingine za Kiarabu zinahusika katika machafuko yanayoendelea nchini Jordan kutokana na nchi hiyo kushiriki katika kikao cha kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani uliokuweko Tel Aviv.

  • Ayatullah Jannati: Uhai wa Israel umeshafikia ukingoni

    Ayatullah Jannati: Uhai wa Israel umeshafikia ukingoni

    Jun 05, 2018 09:21

    Katibu wa Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kusisitiza kuwa: Uhai wa utawala wa Israel umefikia ukingoni, na muda si mrefu tutasherehekea kuangamizwa kwa utawala huo ili kuifuta shari yake katika kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Siku ya Kimataifa ya Quds Kufanyika Nairobi, Kenya

    Siku ya Kimataifa ya Quds Kufanyika Nairobi, Kenya

    Jun 04, 2018 23:21

    Wapenda haki na amani nchini Kenya watajiunga na wenzao kote duniani katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa wiki hii.

  • Ushindi wa Palestina; utukufu wa ulimwengu wa Kiislamu

    Ushindi wa Palestina; utukufu wa ulimwengu wa Kiislamu

    Jun 04, 2018 03:52

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistatijia cha Taasisi ya Kimataifa ya Mweamko wa Kiislamu amesema kwamba ushindi wa taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Isreal unauletea utukufu ulimwengu wa Kiislamu.

  • Hizbullah: Taifa la Palestina litegemee muqawama, lisiwategemee viongozi wa Kiarabu wanafiki

    Hizbullah: Taifa la Palestina litegemee muqawama, lisiwategemee viongozi wa Kiarabu wanafiki

    Jun 03, 2018 23:46

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah, Nabil Qaouk amesisitiza kwamba, taifa la Palestina halitakiwi kuwategemea viongozi wa nchi za Kiarabu na vikao vyao, bali wategemee muqawama na stratijia yake.

  • Mkuu wa Kituo cha Kiislamu UK: Kwa mtazamo wa Imam Khomeini, Qur'ani imeleta ujumbe wa umoja

    Mkuu wa Kituo cha Kiislamu UK: Kwa mtazamo wa Imam Khomeini, Qur'ani imeleta ujumbe wa umoja

    Jun 03, 2018 10:32

    Mkuu wa Kituo cha Kiislamu nchini Uingereza ameashiria Wasia wa Kimaanawi na Kisiasa wa Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza kwamba, kwa mtazamo wa kiongozi huyo Qur'ani imeleta ujumbe wa amani na umoja kwa jamii ya wanadamu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje

    Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje

    9 hours ago
  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Mlipuko wa Ebola waongeza mateso kwa wananchi wa mashariki mwa DRC

  • Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    10 hours ago
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    15 hours ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS