-
Ayatullah Jannati: Uhai wa Israel umeshafikia ukingoni
Jun 05, 2018 13:51Katibu wa Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kusisitiza kuwa: Uhai wa utawala wa Israel umefikia ukingoni, na muda si mrefu tutasherehekea kuangamizwa kwa utawala huo ili kuifuta shari yake katika kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds Kufanyika Nairobi, Kenya
Jun 05, 2018 03:51Wapenda haki na amani nchini Kenya watajiunga na wenzao kote duniani katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa wiki hii.
-
Ushindi wa Palestina; utukufu wa ulimwengu wa Kiislamu
Jun 04, 2018 08:22Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistatijia cha Taasisi ya Kimataifa ya Mweamko wa Kiislamu amesema kwamba ushindi wa taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Isreal unauletea utukufu ulimwengu wa Kiislamu.
-
Hizbullah: Taifa la Palestina litegemee muqawama, lisiwategemee viongozi wa Kiarabu wanafiki
Jun 04, 2018 04:16Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah, Nabil Qaouk amesisitiza kwamba, taifa la Palestina halitakiwi kuwategemea viongozi wa nchi za Kiarabu na vikao vyao, bali wategemee muqawama na stratijia yake.
-
Mkuu wa Kituo cha Kiislamu UK: Kwa mtazamo wa Imam Khomeini, Qur'ani imeleta ujumbe wa umoja
Jun 03, 2018 15:02Mkuu wa Kituo cha Kiislamu nchini Uingereza ameashiria Wasia wa Kimaanawi na Kisiasa wa Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza kwamba, kwa mtazamo wa kiongozi huyo Qur'ani imeleta ujumbe wa amani na umoja kwa jamii ya wanadamu.
-
(Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds): Dhulma wanayofanyiwa Wapalestina na madai ya haki za binadamu ya Marekani
Jun 03, 2018 06:41Vitendo vilivyo dhidi ya ubinadamu ambavyo Israel inawafanyia wananchi madhulumu wa Palestina ni miongoni mwa mambo ambayo mara kwa mara yamekuwa yakifanywa ajenda za Baraza la Haki za Binadamu la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa; hata hivyo mara zote Marekani imekuwa ikiingilia kati na kuzuia kupasishwa maazimio ya kimataifa ya kulaani jinai hizo za Israel.
-
Maandamano ya Siku ya Quds kufanyika katika miji mikubwa na midogo 900 nchini Iran
Jun 03, 2018 02:43Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yatafanyika Ijumaa kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika miji mikubwa na midogo zaidi ya 900 na kuakisiwa na waandishi habari zaidi ya 5,300 wa kitaifa na kimataifa.
-
Kugonga mwamba njama ya Marekani UN ya kupitisha azimio la kulaani Muqawama wa Palestina
Jun 03, 2018 02:40Rasimu ya azimio lililopendekezwa na Marekani, la kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel na kulaani makundi ya muqawama wa Palestina imekataliwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Iran inaunga mkono Palestina katika kutekeleza wajibu wa kidini na kiitikadi
Jun 02, 2018 13:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina kwa msingi wa kiitikadi na kutekeleza wajibu wa kidini.
-
Israel yalegeza msimamo baada ya majibu makali ya wanamapambano wa Palestina
May 31, 2018 14:48Baada ya wanamapambano wa Palestina kutoa majibu makali dhidi ya mashambulizi ya kivamizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni, hatimaye baraza la masuala ya usalama la Israel limesema kuwa, utawala huo hauna nia yoyote ya kuukalia tena kwa mabavu Ukanda wa Ghaza.