Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mufti wa Palestina: Nchi za Kiislamu zivunje uhusiano na nchi zinazoitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Mufti wa Palestina: Nchi za Kiislamu zivunje uhusiano na nchi zinazoitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    May 31, 2018 07:59

    Mufti wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu amezitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zivunje uhusiano wao na nchi zinazoitambua Quds tukufu kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Uturuki yakosolewa kwa kuwa na sera za undumakuwili kuhusiana na eneo la Mashariki ya Kati

    Uturuki yakosolewa kwa kuwa na sera za undumakuwili kuhusiana na eneo la Mashariki ya Kati

    May 31, 2018 07:30

    Mchambuzi wa masuala ya Mashariki ya Kati na mhadhiri wa Taaluma ya Uhusiano wa Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Atilim nchini Uturuki amesema sera za undumakuwili za serikali ya Ankara kuhusiana na matukio ya eneo hili hazina mantiki wala hazitokani na misingi inayokubalika.

  • Kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds; kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina na majukumu ya Kimataifa

    Kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds; kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina na majukumu ya Kimataifa

    May 31, 2018 05:18

    "Ulimwengu wa Kiislamu leo unapaswa kuwa na nafasi ya kimsingi katika masuala muhimu na usiruhusu uzoefu mchungu wa miongo iliyopita na kuenea satwa ya madola makubwa na athari zake za muda mrefu kukaririwa."

  • Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    May 29, 2018 01:43

    Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemmiminia risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke asiye na uwezo wa kusikia wa Kipalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Palestina imeanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Sham!

    Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Palestina imeanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Sham!

    May 28, 2018 11:36

    Palestina ni suala kuu na la kwanza la Ulimwengu wa Kiislamu; na kufanyika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kunatilia mkazo suala hilo muhimu na la kihistoria.

  • Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Marekani mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Marekani mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 27, 2018 02:32

    Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni siku ya kupazwa duniani sauti ya kudhulumiwa taifa la Palestina na kuchukizwa ulimwengu na utawala katili wa Israel unaoua watoto wadogo, inawadia.

  • Kukivunja kabisa Kibla cha Kwanza cha Waislamu; hatua ya baadaye ya Trump

    Kukivunja kabisa Kibla cha Kwanza cha Waislamu; hatua ya baadaye ya Trump

    May 25, 2018 03:17

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, vitendo vya balozi wa Marekani vinaonesha jinsi nchi yake inavyoshirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kuyavunjia heshima matukufu ya taifa la Palestina na ya umma mzima wa Kiarabu na wa Kiislamu.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    May 21, 2018 07:57

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji wa Dār al-Bayḍā (Casablanca) kulaani hatua ya Marekani ya kuuhamishia Quds ubalozi wake uliokuweko Tel Aviv, mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Walowezi wa  Kizayuni wauhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Walowezi wa Kizayuni wauhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    May 21, 2018 02:33

    Walowezi zaidi ya 300 wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa al Aqsa ulioko katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani

    HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani

    May 14, 2018 03:06

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, uvamizi uliofanywa walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa Al Aqsa hapo jana ni namna fulani ya utoaji vitisho unaofanywa na utawala wa Kizayuni kwa uungaji mkono wa Marekani.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Majeshi ya majini ya Iran, Afrika Kusini na Sri Lanka kushirikiana usalama baharini

    Majeshi ya majini ya Iran, Afrika Kusini na Sri Lanka kushirikiana usalama baharini

    2 hours ago
  • Mauzo ya nje ya kilimo ya Iran yaongezeka, asilimia 85 ya chakula ni uzalishaji wa ndani

  • Russia yakanusha madai ya kuwaajiri Wakenya katika vita vya Ukraine

  • Zaidi ya Wapalestina na Waarabu 9,300 wanashikiliwa mateka katika magereza ya Israel

  • Nchi 30, Tume ya EU yatoa wito wa kukomeshwa mara moja mapigano Sudan

Chaguo La Mhariri
  • Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump

    Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump

    6 hours ago
  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    23 hours ago
  • Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika

    Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Russia yaonya shambulizi dhidi ya Iran linaweza kuwasha moto wa kikanda

  • Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"

  • Manuva ya kijeshi ya Iran na Russia kufanyika leo katika Bahari ya Oman

  • Waziri Mkuu wa Slovakia: EU iko katika hali mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia yake

  • Rais Pezeshkian: Iran haifanyi mazungumzo iwe imezungumza tu, inataka tija inayoonekana

  • Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

  • Njama za Israel zimeisukuma Iran kujitegemea katika sekta ya nyuklia

  • Vatican, Mexico nazo pia zaukataa uanachama katika 'Bodi ya Amani' ya Trump

  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

  • Gabon yapiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii, yasema inachochea migawanyiko

  • Kwa kuwadia Ramadhani, mlowezi wa kizayuni auchoma moto Msahafu Baitul-Muqaddas

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS