Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • (Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds): Dhulma wanayofanyiwa Wapalestina na madai ya haki za binadamu ya Marekani

    (Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds): Dhulma wanayofanyiwa Wapalestina na madai ya haki za binadamu ya Marekani

    Jun 03, 2018 02:11

    Vitendo vilivyo dhidi ya ubinadamu ambavyo Israel inawafanyia wananchi madhulumu wa Palestina ni miongoni mwa mambo ambayo mara kwa mara yamekuwa yakifanywa ajenda za Baraza la Haki za Binadamu la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa; hata hivyo mara zote Marekani imekuwa ikiingilia kati na kuzuia kupasishwa maazimio ya kimataifa ya kulaani jinai hizo za Israel.

  • Maandamano ya Siku ya Quds kufanyika katika miji mikubwa na midogo 900 nchini Iran

    Maandamano ya Siku ya Quds kufanyika katika miji mikubwa na midogo 900 nchini Iran

    Jun 02, 2018 22:13

    Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yatafanyika Ijumaa kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika miji mikubwa na midogo zaidi ya 900 na kuakisiwa na waandishi habari zaidi ya 5,300 wa kitaifa na kimataifa.

  • Kugonga mwamba njama ya Marekani UN ya kupitisha azimio la kulaani Muqawama wa Palestina

    Kugonga mwamba njama ya Marekani UN ya kupitisha azimio la kulaani Muqawama wa Palestina

    Jun 02, 2018 22:10

    Rasimu ya azimio lililopendekezwa na Marekani, la kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel na kulaani makundi ya muqawama wa Palestina imekataliwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Iran inaunga mkono Palestina katika kutekeleza wajibu wa kidini na kiitikadi

    Iran inaunga mkono Palestina katika kutekeleza wajibu wa kidini na kiitikadi

    Jun 02, 2018 08:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina kwa msingi wa kiitikadi na kutekeleza wajibu wa kidini.

  • Israel yalegeza msimamo baada ya majibu makali ya wanamapambano wa Palestina

    Israel yalegeza msimamo baada ya majibu makali ya wanamapambano wa Palestina

    May 31, 2018 10:18

    Baada ya wanamapambano wa Palestina kutoa majibu makali dhidi ya mashambulizi ya kivamizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni, hatimaye baraza la masuala ya usalama la Israel limesema kuwa, utawala huo hauna nia yoyote ya kuukalia tena kwa mabavu Ukanda wa Ghaza.

  • Mufti wa Palestina: Nchi za Kiislamu zivunje uhusiano na nchi zinazoitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Mufti wa Palestina: Nchi za Kiislamu zivunje uhusiano na nchi zinazoitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    May 31, 2018 03:29

    Mufti wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu amezitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zivunje uhusiano wao na nchi zinazoitambua Quds tukufu kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Uturuki yakosolewa kwa kuwa na sera za undumakuwili kuhusiana na eneo la Mashariki ya Kati

    Uturuki yakosolewa kwa kuwa na sera za undumakuwili kuhusiana na eneo la Mashariki ya Kati

    May 31, 2018 03:00

    Mchambuzi wa masuala ya Mashariki ya Kati na mhadhiri wa Taaluma ya Uhusiano wa Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Atilim nchini Uturuki amesema sera za undumakuwili za serikali ya Ankara kuhusiana na matukio ya eneo hili hazina mantiki wala hazitokani na misingi inayokubalika.

  • Kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds; kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina na majukumu ya Kimataifa

    Kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds; kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina na majukumu ya Kimataifa

    May 31, 2018 00:48

    "Ulimwengu wa Kiislamu leo unapaswa kuwa na nafasi ya kimsingi katika masuala muhimu na usiruhusu uzoefu mchungu wa miongo iliyopita na kuenea satwa ya madola makubwa na athari zake za muda mrefu kukaririwa."

  • Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    May 28, 2018 21:13

    Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemmiminia risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke asiye na uwezo wa kusikia wa Kipalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Palestina imeanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Sham!

    Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Palestina imeanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Sham!

    May 28, 2018 07:06

    Palestina ni suala kuu na la kwanza la Ulimwengu wa Kiislamu; na kufanyika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kunatilia mkazo suala hilo muhimu na la kihistoria.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje

    Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje

    10 hours ago
  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Mlipuko wa Ebola waongeza mateso kwa wananchi wa mashariki mwa DRC

  • Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    11 hours ago
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    16 hours ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS