-
Mufti wa Palestina: Nchi za Kiislamu zivunje uhusiano na nchi zinazoitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel
May 31, 2018 07:59Mufti wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu amezitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zivunje uhusiano wao na nchi zinazoitambua Quds tukufu kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Uturuki yakosolewa kwa kuwa na sera za undumakuwili kuhusiana na eneo la Mashariki ya Kati
May 31, 2018 07:30Mchambuzi wa masuala ya Mashariki ya Kati na mhadhiri wa Taaluma ya Uhusiano wa Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Atilim nchini Uturuki amesema sera za undumakuwili za serikali ya Ankara kuhusiana na matukio ya eneo hili hazina mantiki wala hazitokani na misingi inayokubalika.
-
Kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds; kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina na majukumu ya Kimataifa
May 31, 2018 05:18"Ulimwengu wa Kiislamu leo unapaswa kuwa na nafasi ya kimsingi katika masuala muhimu na usiruhusu uzoefu mchungu wa miongo iliyopita na kuenea satwa ya madola makubwa na athari zake za muda mrefu kukaririwa."
-
Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina
May 29, 2018 01:43Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemmiminia risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke asiye na uwezo wa kusikia wa Kipalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Palestina imeanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Sham!
May 28, 2018 11:36Palestina ni suala kuu na la kwanza la Ulimwengu wa Kiislamu; na kufanyika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kunatilia mkazo suala hilo muhimu na la kihistoria.
-
Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Marekani mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
May 27, 2018 02:32Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni siku ya kupazwa duniani sauti ya kudhulumiwa taifa la Palestina na kuchukizwa ulimwengu na utawala katili wa Israel unaoua watoto wadogo, inawadia.
-
Kukivunja kabisa Kibla cha Kwanza cha Waislamu; hatua ya baadaye ya Trump
May 25, 2018 03:17Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, vitendo vya balozi wa Marekani vinaonesha jinsi nchi yake inavyoshirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kuyavunjia heshima matukufu ya taifa la Palestina na ya umma mzima wa Kiarabu na wa Kiislamu.
-
Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani
May 21, 2018 07:57Makumi ya maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji wa Dār al-Bayḍā (Casablanca) kulaani hatua ya Marekani ya kuuhamishia Quds ubalozi wake uliokuweko Tel Aviv, mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.
-
Walowezi wa Kizayuni wauhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds
May 21, 2018 02:33Walowezi zaidi ya 300 wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa al Aqsa ulioko katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani
May 14, 2018 03:06Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, uvamizi uliofanywa walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa Al Aqsa hapo jana ni namna fulani ya utoaji vitisho unaofanywa na utawala wa Kizayuni kwa uungaji mkono wa Marekani.