Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani

    HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani

    May 14, 2018 03:06

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, uvamizi uliofanywa walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa Al Aqsa hapo jana ni namna fulani ya utoaji vitisho unaofanywa na utawala wa Kizayuni kwa uungaji mkono wa Marekani.

  • Kususiwa sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani mjini Quds

    Kususiwa sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani mjini Quds

    May 13, 2018 10:35

    Zaidi ya nusu ya viongozi wa kigeni walioalikwa kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani mjini Quds, wamekataa kushiriki sherehe hizo.

  • Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US

    Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US

    May 13, 2018 07:46

    Mamia ya Waisraeli wamejiunga na Wapalestina katika maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.

  • Mataifa ya Kiislamu yaandamana kupinga US kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Mataifa ya Kiislamu yaandamana kupinga US kuuhamishia ubalozi wake Quds

    May 12, 2018 07:24

    Maelfu ya watu wameshiriki maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.

  • Kuchukua wigo mpana zaidi malalamiko ya Wapalestina dhidi ya njama za Trump huko Beitul-Muqaddas

    Kuchukua wigo mpana zaidi malalamiko ya Wapalestina dhidi ya njama za Trump huko Beitul-Muqaddas

    May 10, 2018 11:51

    Ripoti mbalimbali kutoka Palestina zinaonyesha juu ya kushadidi upinzani na malalamiko ya vyama na makundi mbalimbali ya Kipalestina dhidi ya uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya mji wa Beitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Umoja wa Mataifa: Tunapinga Marekani kuhamishia ubalozi wake Beitul-Muqadas

    Umoja wa Mataifa: Tunapinga Marekani kuhamishia ubalozi wake Beitul-Muqadas

    May 09, 2018 14:17

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kwa mara nyingine tena upinzani wa taasisi hiyo kwa uamuzi wa Marekani wa kutaka kuhamishia ubalozi wake katika mji wa Beitul-Muqaddas huko Palestina inayokkaliwa kwa mabavu.

  • Kusimama kidete Wapalestina kwawalazimisha Wazayuni kuitisha kikao cha dharura

    Kusimama kidete Wapalestina kwawalazimisha Wazayuni kuitisha kikao cha dharura

    May 09, 2018 07:50

    Viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamelazimika kuitisha kikao cha dharura baada ya vyama, mirengo na makundi yote ya Wapalestina kuungana na kusimama imara kukabiliana na uadui wa kupindukia wa rais wa Marekani dhidi ya mji mtakatifu wa Quds wenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Ukosoaji wa rais wa Romania kwa uamuzi wa kuhamishiwa ubalozi wa nchi hiyo Quds Tukufu

    Ukosoaji wa rais wa Romania kwa uamuzi wa kuhamishiwa ubalozi wa nchi hiyo Quds Tukufu

    May 07, 2018 02:56

    Rais Klaus Iohannis wa Romania amekosoa vikali uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv, kwenda mji wa Quds (Jerusalem) na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kosa kubwa.

  • Syria yataka kusitishwa jinai za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani

    Syria yataka kusitishwa jinai za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani

    May 03, 2018 06:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemtumia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama la umoja huo ikitaka kusitishwa jinai za kivita zinazofanywa na muungano eti wa kimataifa chini ya uongozi wa Marekani dhidi ya taifa la Syria.

  • Mapatano ya Karne; mpango wa kuifuta Palestina

    Mapatano ya Karne; mpango wa kuifuta Palestina

    May 02, 2018 08:07

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani yay Palestina amesisitiza kuwa, Beitul-Muqaddas ni mji mkuu wa abadi na milele wa Palestina.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa

    Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa

    11 hours ago
  • "Vyombo vya diplomasia vya Iran vijadiliane kwa kuzingatia hekima, izza, na maslahi ya taifa"

  • Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote

  • Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump

  • Serikali ya Senegal yaidhinisha muswada wa adhabu kali wapenzi wa jinsia moja

Chaguo La Mhariri
  • Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

    Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

    12 hours ago
  • Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump

    Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump

    21 hours ago
  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote

  • Russia yaonya shambulizi dhidi ya Iran linaweza kuwasha moto wa kikanda

  • Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"

  • Manuva ya kijeshi ya Iran na Russia kufanyika leo katika Bahari ya Oman

  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

  • Njama za Israel zimeisukuma Iran kujitegemea katika sekta ya nyuklia

  • Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

  • Majeshi ya majini ya Iran, Afrika Kusini na Sri Lanka kushirikiana usalama baharini

  • "Vyombo vya diplomasia vya Iran vijadiliane kwa kuzingatia hekima, izza, na maslahi ya taifa"

  • Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump

  • Serikali ya Senegal yaidhinisha muswada wa adhabu kali wapenzi wa jinsia moja

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS