-
Japan yaipinga Marekani, yasema haitahamishia ubalozi wake Beitul-Muqaddas
May 02, 2018 03:55Waziri Mkuu wa Japan amesisitiza kuwa, nchi yake haitaungana na Marekani katika uamuzi wake na kwamba, haitahamishia ubalozi wake katika mji wa Beitul-Muqaddas
-
Kitongoji cha Trump, nembo ya ubeberu wa Marekani na Israel
Apr 29, 2018 03:38Waziri wa Ujenzi wa Israel, Yoav Galant ametangaza kuwa, Tel Aviv imechukua uamuzi wa kukipa jina la "Kitongoji cha Trump" eneo kutakakojengwa balozi za nchi mbalimbali katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds.
-
Rais wa Romania amtaka Waziri Mkuu ajiuzulu baada ya kutembelea Israel kwa siri
Apr 28, 2018 03:57Rais Klaus Iohannis wa Romania amemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Viorica Dancila ajiuzulu kutokana na safari yake ya siri katika utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Sheikh wa al-Azhar: Beitul-Muqaddas ni ardhi ya Waislamu
Apr 22, 2018 03:47Sheikh Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar nchini Misri amesema kuwa, Beitul-Muqaddas ni ardhi ya Kiislamu na daima itaendelea kuubakia kuwa ni ya Kiislamu.
-
Akthari ya Wapalestina wakazi wa Quds Mashariki wanaishi chini ya mstari wa umaskini
Apr 16, 2018 04:26Takwimu rasmi zinaonyesha kuwa asilimia 75 ya Wapalestina wakazi wa Quds Mashariki wanaishi chini ya mstari wa umaskini.
-
Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza
Apr 06, 2018 04:35Spika wa Bunge la Morocco amesema kuwa vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa
Apr 02, 2018 07:42Mamia ya walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanalindwa na askari wa utawala haramu wa Israel, wameuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa kwa kupitia lango la al-Maghareba.
-
Czech kuuhamishia ubalozi wake Quds chini ya mashinikizo ya Israel
Mar 19, 2018 03:17Jamhuri ya Czech ipo chini ya mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuitaka ihamishie ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) kama ilivyofanya Marekani.
-
Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas
Mar 15, 2018 07:20Ripoti mpya iliyotolewa na Kituo cha Utafiti wa Ardhi (LRC) cha Palestina inaonyesha kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umebomoa nyumba zipatazo 5,000 za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tangu ulipouvamia na kuanza kuukalia kwa mabavu mji huo mwaka 1967.
-
Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina
Mar 14, 2018 03:35Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa njia ya ufumbuzi wa kadhia ya Palestina haiko mikononi mwa Marekani, bali kinachopasa kufanywa ni kuzifuatilia jinai zinazotendwa na Marekani.