Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Japan yaipinga Marekani, yasema haitahamishia ubalozi wake Beitul-Muqaddas

    Japan yaipinga Marekani, yasema haitahamishia ubalozi wake Beitul-Muqaddas

    May 02, 2018 03:55

    Waziri Mkuu wa Japan amesisitiza kuwa, nchi yake haitaungana na Marekani katika uamuzi wake na kwamba, haitahamishia ubalozi wake katika mji wa Beitul-Muqaddas

  • Kitongoji cha Trump, nembo ya ubeberu wa Marekani na Israel

    Kitongoji cha Trump, nembo ya ubeberu wa Marekani na Israel

    Apr 29, 2018 03:38

    Waziri wa Ujenzi wa Israel, Yoav Galant ametangaza kuwa, Tel Aviv imechukua uamuzi wa kukipa jina la "Kitongoji cha Trump" eneo kutakakojengwa balozi za nchi mbalimbali katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds.

  • Rais wa Romania amtaka Waziri Mkuu ajiuzulu baada ya kutembelea Israel kwa siri

    Rais wa Romania amtaka Waziri Mkuu ajiuzulu baada ya kutembelea Israel kwa siri

    Apr 28, 2018 03:57

    Rais Klaus Iohannis wa Romania amemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Viorica Dancila ajiuzulu kutokana na safari yake ya siri katika utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sheikh wa al-Azhar: Beitul-Muqaddas ni ardhi ya Waislamu

    Sheikh wa al-Azhar: Beitul-Muqaddas ni ardhi ya Waislamu

    Apr 22, 2018 03:47

    Sheikh Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar nchini Misri amesema kuwa, Beitul-Muqaddas ni ardhi ya Kiislamu na daima itaendelea kuubakia kuwa ni ya Kiislamu.

  • Akthari ya Wapalestina wakazi wa Quds Mashariki wanaishi chini ya mstari wa umaskini

    Akthari ya Wapalestina wakazi wa Quds Mashariki wanaishi chini ya mstari wa umaskini

    Apr 16, 2018 04:26

    Takwimu rasmi zinaonyesha kuwa asilimia 75 ya Wapalestina wakazi wa Quds Mashariki wanaishi chini ya mstari wa umaskini.

  • Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza

    Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza

    Apr 06, 2018 04:35

    Spika wa Bunge la Morocco amesema kuwa vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Apr 02, 2018 07:42

    Mamia ya walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanalindwa na askari wa utawala haramu wa Israel, wameuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa kwa kupitia lango la al-Maghareba.

  • Czech kuuhamishia ubalozi wake Quds chini ya mashinikizo ya Israel

    Czech kuuhamishia ubalozi wake Quds chini ya mashinikizo ya Israel

    Mar 19, 2018 03:17

    Jamhuri ya Czech ipo chini ya mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuitaka ihamishie ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) kama ilivyofanya Marekani.

  • Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas

    Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas

    Mar 15, 2018 07:20

    Ripoti mpya iliyotolewa na Kituo cha Utafiti wa Ardhi (LRC) cha Palestina inaonyesha kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umebomoa nyumba zipatazo 5,000 za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tangu ulipouvamia na kuanza kuukalia kwa mabavu mji huo mwaka 1967.

  • Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina

    Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina

    Mar 14, 2018 03:35

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa njia ya ufumbuzi wa kadhia ya Palestina haiko mikononi mwa Marekani, bali kinachopasa kufanywa ni kuzifuatilia jinai zinazotendwa na Marekani.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Mwandishi wa NY Times: Netanyahu anamtumia vibaya Trump kwa ajili ya vita na Iran

    Mwandishi wa NY Times: Netanyahu anamtumia vibaya Trump kwa ajili ya vita na Iran

    2 hours ago
  • Ripota wa UN kuhusu Palestina asema, licha ya kuandamwa hatasalimu amri, hatajiuzulu

  • Al-Burhan: Hakutakuwa na suluhu Sudan mpaka RSF iondoke kwenye maeneo yote inayoyakalia

  • Mashabiki 18 wa Senegal wahukumiwa vifungo jela Morocco kwa yaliyojiri kwenye fainali ya AFCON

  • Russia yasisitizia uungaji mkono wake kwa haki za kisheria za Iran katika mazungumzo ya nyuklia

Chaguo La Mhariri
  • Kupinga Wabunge wa Marekani sera za Trump za kupiga ngoma ya vita dhidi ya Iran

    Kupinga Wabunge wa Marekani sera za Trump za kupiga ngoma ya vita dhidi ya Iran

    3 hours ago
  • Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

    Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

    17 hours ago
  • Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump

    Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote

  • Russia yaonya shambulizi dhidi ya Iran linaweza kuwasha moto wa kikanda

  • Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"

  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

  • Njama za Israel zimeisukuma Iran kujitegemea katika sekta ya nyuklia

  • Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

  • Majeshi ya majini ya Iran, Afrika Kusini na Sri Lanka kushirikiana usalama baharini

  • "Vyombo vya diplomasia vya Iran vijadiliane kwa kuzingatia hekima, izza, na maslahi ya taifa"

  • Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump

  • Serikali ya Senegal yaidhinisha muswada wa adhabu kali wapenzi wa jinsia moja

  • Waholanzi 640 waliohudumu katika jeshi la Israel Gaza kushtakiwa?

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS