Uganda kuendelea kuunga mkono Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) + Sauti
Jan 27, 2018 04:43 UTC
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesisitiza kuwa nchi yake itaendelea kuiunga mkono Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika jitihada zake za kutatua matatizo ya eneo la jumuiya hiyo. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kampala, Kigozi Ismael ametuandalia ripoti hiyo hapo juu
Tags