Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wazidi kukimbilia Burundi + Sauti
Jan 29, 2018 14:46 UTC
Raia wa eneo la Fizi la mashariki mwa DRC wamekuwa wakikimbia mapigano kati ya jeshi la serikali na waasi wa Maimai na kukimbilia nchi jirani ya Burundi. Zaidi ya raia elfu 9 wa DRC tayari wamewasili Burundi tangu wiki iliyopita ingawa huduma za kibinadamu za UNHCR hazijaanza kutolewa kwa wakimbizi hao. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi.
Tags