Raila Odinga na kujiapisha kuwa "rais wa wananchi wa Kenya" + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i39709-raila_odinga_na_kujiapisha_kuwa_rais_wa_wananchi_wa_kenya_sauti
Raila Odinga, kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Jumanne, Januari 30, 2018 amejiapisha kuwa "rais wa wananchi wa Kenya" katika Bustani ya Uhuru jijini Nairibo kwenye sherehe ambazo licha ya kuhudhuriwa na maelfu ya wafuasi wake, lakini viongozi wenza wa NASA hawakuhudhuria. Mwandishi wa Radio Tehran, Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu tukio hilo.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Jan 31, 2018 03:02 UTC

Raila Odinga, kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Jumanne, Januari 30, 2018 amejiapisha kuwa "rais wa wananchi wa Kenya" katika Bustani ya Uhuru jijini Nairibo kwenye sherehe ambazo licha ya kuhudhuriwa na maelfu ya wafuasi wake, lakini viongozi wenza wa NASA hawakuhudhuria. Mwandishi wa Radio Tehran, Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu tukio hilo.