Rwanda yajitetea kuhusu haki za binadamu + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i40077-rwanda_yajitetea_kuhusu_haki_za_binadamu_sauti
Serikali ya Rwanda imetangaza kwamba imechukua hatua kubwa ya kuboresha haki za binadamu kwa kutekeleza makubaliano ya kimataifa ya Geneva. Nchi hiyo imetangaza hayo wakati kukiwepo na ukosoaji wa kimataifa kuhusu ukosefu wa uhuru wa kutoa maoni nchini humo. Maelezo zaidi yamo ndani ya ripoti ya mwandishi wetu wa Kigali, Sylvanus Karemera
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Feb 08, 2018 04:07 UTC

Serikali ya Rwanda imetangaza kwamba imechukua hatua kubwa ya kuboresha haki za binadamu kwa kutekeleza makubaliano ya kimataifa ya Geneva. Nchi hiyo imetangaza hayo wakati kukiwepo na ukosoaji wa kimataifa kuhusu ukosefu wa uhuru wa kutoa maoni nchini humo. Maelezo zaidi yamo ndani ya ripoti ya mwandishi wetu wa Kigali, Sylvanus Karemera