-
Kongo yashindwa kuzuia mlipuko wa ugonjwa wa Mpox
Mar 12, 2025 22:51Wiki sita baada ya waasi wanaoungwa mkono na Rwanda kuteka miji miwili mikubwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, eneo hilo linakabiliwa na hali mbaya katika mapambano yake dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa mpox.
-
ANC: Afrika Kusini haitakubali Kutishwa na Marekani
Mar 12, 2025 09:10Naibu Katibu Mkuu wa kwanza wa chama tawala cha Afrika Kusini, ANC, Nomvula Mokonyane, amekemea wanachama wa chama cha Democratic Alliance (DA) ambao wamekwenda Marekani kujipendekeza kwa rais wan chi hiyo Donald Trump na kutaja hatua hiyo kama dharau kwa uhuru wa nchi hiyo.
-
Sudan Kusini yakanusha uwepo wa Wanajeshi wa Uganda
Mar 12, 2025 09:09Wizara ya Habari ya Sudan Kusini imekanusha madai ya uwepo wa wanajeshi wa Uganda nchini humo, baada ya kutangazwa kuwa wameingia nchini humo kulinda usalama.
-
Kwa nini Marekani inataka kuwekeza katika sekta ya madini nchini Kongo DR?
Mar 12, 2025 09:02Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zinapanga kushirikiana katika mapatano ya kiuchumi na kisiasa.
-
Angola kusimamia mazungumzo ya moja kwa moja kati ya DRC na waasi wa M23
Mar 12, 2025 08:51Angola imetangaza kuwa itajaribu kusaidia kufanikisha mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, kama sehemu ya juhudi za kumaliza mgogoro wa muda mrefu mashariki mwa DRC.
-
Al-Shabaab yaendelea kumwaga damu za Waislamu Ramadhani
Mar 12, 2025 03:41Wanachama waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wamewauwa watu wasiopungua saba katika shambulio dhidi ya hoteli moja katika mji wa kati wa Somalia; ambapo wazee wa eneo hilo na maafisa wa serikali walikuwa wamekutana kujadili jinsi ya kuchukua hatua dhidi ya genge hilo la wanamgambo.
-
Mripuko wa homa ya uti wa mgongo waua makumi Nigeria
Mar 12, 2025 03:35Watu wasiopungua 26 wameaga dunia kutokana na mripuko wa ugonjwa wa uti wa mgongo (Meningitis) katika Jimbo la Kebbi kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
UNICEF asilimia 50 ya Watanzania ni watoto; vijana ni 72%
Mar 11, 2025 08:06Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetilia mkazo msimamo wake wa kuwasaidia watoto nchini Tanzania ili kuwawwezesha wasichana wanaobaleghe kupata huduma za elimu, afya na lishe nzuri.
-
Vita na uasi wa M23 vyapunguza biashara kati ya Burundi na DR Congo
Mar 11, 2025 07:57Shughuli mbalimbali za kibiashara zimeporomoka nchini Burundi tangu vilipoongezeka vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi Februari mwaka jana.
-
Tunisia na Misri kwa mara nyingine zapinga kuhamishwa kwa nguvu Wapalestina
Mar 11, 2025 07:56Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri na mwenzake wa Tunisia, Kais Saied, wametilia tena mkazo msimamo wa nchi zao wa kupinga kuhamishwa kwa nguvu Wapalestina katika ardhi zao.