-
IRGC: Hakuna dola linaloweza kudhoofisha azma ya taifa la Iran
May 03, 2026 10:25Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limelishukuru taifa la Iran kwa kusimama kidete kuilinda nchi na msimamo wake imara wa Kiislamu kupitia maandamano ya kuonyesha umoja na mshikamano nchini.
-
Iran yasema: 'Mpira uko upande wa Marekani' yawasilisha mapendekezo kwa wapatanishi ili kukomesha vita vya US na Israel
May 03, 2026 10:22Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Sheria na Kimataifa ameweka wazi msimamo rasmi wa Iran kuhusu juhudi zinazoendelea kufanywa kwa ajili ya kufikiwa mapatano na Marekani.
-
Kiongozi Mudhamu: Taifa la Iran litamshinda adui katika nyuga za kiuchumi na kiutamaduni baada ya ushindi katika vita vya kijeshi
May 02, 2026 09:20Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameapa kuwa taifa la Iran litamshinda pia adui katika nyanja za kiutamaduni na kiuchumi baada ya kupata ushindi katika medani ya vita vya kijeshi.
-
Araghchi: Iran iko tayari kukabiliana na tishio au uovu wowote
May 02, 2026 11:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa jeshi la Iran liko katika hali ya utayari kamili kulinda mamlaka na heshima ya taifa dhidi ya tishio au uchokozi wa aina yoyote.
-
Baqaei ajibu madai ya Marekani: Hujuma dhidi ya Iran ni uchokozi, si hatua ya kujilinda
May 02, 2026 09:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai ya Marekani kwamba iliingia vitani na Iran kwa ajili ya "kujilinda," akisisitiza kuwa: Hakukuwa na hatua yoyote ya kijeshi kutoka upande wa Iran dhidi ya Marekani, na kwa hivyo shambulio la kijeshi la Marekani dhidi ya Iran lilikuwa kitendo cha uchokozi.
-
Mipaka yetu ni mirefu kuliko kuta mbili kote Marekani: Spika Qalibaf akejeli mzingiro wa Marekani
May 02, 2026 07:23Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amekejeli mzingiro wa jeshi la majini la Marekani dhidi ya Iran, akieleza kuwa mipaka mirefu ya nchi hiyo inabatilisha jaribio lolote la kuizingira Jamhuri ya Kiislamu.
-
IRGC: Manowari za Marekani zitateketea ikiwa Iran itashambuliwa tena
May 01, 2026 08:13Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Seyyed Majid Mousavi, amesema Iran itajibu uchokozi wowote wa adui kwa mashambulizi ya muda mrefu na yenye kuumiza, akibainisha kuwa meli za kivita za Marekani zitapata hatima sawa na vituo vya kijeshi vya Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Rais wa Iran: Mzingiro wa kijeshi baharini ni tishio kwa amani ya dunia
May 01, 2026 08:04Rais wa Iran: Mzingiro wa kijeshi baharini ni tishio kwa amani ya dunia
-
Kiongozi Muadhamu: Iran itaweka “kanuni mpya za kisheria” katika Mlango wa Bahari wa Hormuz
Apr 30, 2026 13:59Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametangaza mwanzo wa “sura mpya” kwa Mlango Bahari wa Hormuz, njia ya kimkakati ya baharini.
-
Mkuu wa Jeshi la Wanamaji la Iran: Wamarekani wanaogopa silaha yetu mpya
Apr 30, 2026 10:57Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kwamba majeshi ya Iran yameufunga Mlango Bahari wa Hormuz kutoka Bahari ya Arabia, akisisitiza kwamba: Adui atakutana na silaha yetu ambayo anaiogopa sana.