-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina lengo la kumiliki silaha za nyuklia
Nov 10, 2024 23:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza suala la kujenga hali ya kuaminiana kimataifa na kusema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijawahi kutaka kumiliki silaha za nyuklia na haina lengo hilo.
-
Waziri wa Sheria alaani vikwazo visivyo vya kiadilifu vya Marekani na Magharibi dhidi ya Iran
Nov 10, 2024 22:51Waziri wa Sheria wa Iran amelaani vikwazo visivyo vya kiadilifu vya Marekani na nchi za Magharibi kwa ujumla dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Spika wa Bunge: Iran haiathiriwi na matokeo ya uchaguzi wa marais wa nchi za kigeni
Nov 10, 2024 08:38Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesema uwezo wa Iran wa kutetea maslahi yake hautaathiriwa na kuchaguliwa au kuondolewa madarakani marais wa nchi nyingine.
-
Shahidi Nasrullah, nembo azizi ya muqawama na mapambano dhidi ya dhulma
Nov 10, 2024 06:31Kongamano la Kimataifa la Fikra za Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa zamani wa Hizbullah ya Lebanon, limefanyika mjini Tehran kwa lengo la kuchunguza na kutambua mielekeo mbalimbali ya kifikra na kimaarifa ya shahidi huyo pamoja na nafasi yake ya kisiasa katika kukabiliana na kiburi cha Wazayuni, ambapo wataalamu na wanafikra kutoka nchi 13 wameshiriki.
-
Iran: Ushindi wa Trump hautakuwa na athari yoyote kwa uchumi wetu
Nov 10, 2024 03:21Gavana wa Benki Kuu ya Iran (CBI), Mohammad-Reza Farzin amesema kuchaguliwa tena Donald Trump kuwa rais wa Marekani hakuna mfungamano wowote na ustawi wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yaonya kuhusu kuenea kwa vita vya Israel nje ya Asia Magharibi
Nov 10, 2024 00:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ameonya kwamba matokeo mabaya ya uvamizi wa kikatili wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza na kusini mwa Lebanon hayataishia Asia Magharibi na yanaweza kusambaa zaidi ya eneo hilo la kimkakati
-
Waziri wa Miongozo ya Kiislamu wa Iran: Shahidi Nasrullah aliunganisha fikra na vitendo
Nov 10, 2024 00:09Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran, amesema kwamba Shahidi Hassan Nasrullah alikuwa shakhsia mwenye kutafakari na kuchambua mambo ipasavyo na kuongeza kuwa: Shahidi huyu wa daraja ya juu alikuwa ni mchanganyiko adimu wa uwezo wa fikra na kutenda."
-
Iran na Sudan zajadili uhusiano na masuala ya kiuchumi
Nov 09, 2024 09:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amekutana na Waziri wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi wa Sudan, Gibril Ibrahim Mohamed, aliyeko safarini mjini Tehran kujadili uhusiano wa pande mbili, biashara na uchumi.
-
Ghalibaf : Kuuawa shahidi Sayyid Nasrullah kumeonyesha ubatili wa kufanya mapatano na Israel
Nov 09, 2024 08:55Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Ghalibaf amesema kuuawa shahidi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah kulifichua namna utawala wa Kizayuni usivyoheshimu mapatano ya aina yoyote.
-
Iran: Madai ya kuhusika na njama za kutaka kuwaua viongozi wa Marekani hayana msingi wowote
Nov 09, 2024 04:09Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, madai kwamba Iran ilihusika katika jaribio la kuwaua viongozi wa zamani au wa sasa wa Marekani yanakanushwa vikali na hayana msingi wowote.