-
Namna vita dhidi ya Iran vilivyobadilisha muundo wa soko la nishati duniani?
Apr 05, 2026 01:53Taasisi moja ya Marekani imekiri kwamba vita dhidi ya Iran vimebadilisha pakubwa muundo wa soko la nishati duniani.
-
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran latoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran
Apr 05, 2026 01:48Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya amani vya nyuklia, likisema hilo ndilo tarajio la chini kabisa linalotazamiwa kutoka kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki.
-
Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa
Apr 04, 2026 07:28Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimeangamiza ndege kadhaa za kijeshi za Marekani katika “siku nyeusi” kwa majeshi ya nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
-
Iran: Hujuma dhidi ya madaraja ni uhalifu wa kivita
Apr 04, 2026 03:18Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali Marekani na utawala wa Israel kwa kutekeleza “uhalifu wa kivita wa kigaidi wa mtindo wa Daesh” wakati wa vita vyao vya kichokozi vinavyoendelea dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisema maadui hao wawili hawatapata nguvu kwa kuharibu madaraja makubwa nchini Iran.
-
Pezeshkian: Tutailinda Iran kwa azma thabiti na uwezo wetu wote
Apr 04, 2026 02:56Rais Mahmoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akiashiria kwamba Iran ilishambuliwa kijeshi na Marekani na utawala haramu wa Israel wakati ilipokuwa kwenye mazungumzo na Marekani, amesema: "Sisis tunasisitiza juu ya azma thabiti ya kujilinda."
-
Uchina: Tehran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo
Apr 04, 2026 02:52Huku akielezea upinzani wa Beijing kuhusu kushambuliwa miundombinu ya Iran, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, amesema Tehran kamwe haitapigishwa magoti na mashinikizo yoyote ya kijeshi na kwamba hatua hizi zitachochea tu moto wa mivutano.
-
Marekani na Israel zalenga Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti katika hujuma dhidi ya sayansi Iran
Apr 03, 2026 22:58Muungano wa kijinai wa Marekani na Israel unaendelea na mashambulizi yake dhidi ya miundombinu ya kitaaluma na ya kiraia nchini Iran, huku shambulizi la karibuni likiharibu vibaya kituo cha utafiti katika Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti mjini Tehran.
-
Jeshi la Iran laapa kuendelea na vita hadi Marekani na Israel ‘zitakapojutia’ uchokozi wao
Apr 03, 2026 06:39Msemaji mkuu wa Jeshi la Iran amesema Tehran itaendelea na vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel hadi kuifanya Marekani na utawala wa Israel "zijutie" kitendo chao cha uchokozi kinyume cha sheria.
-
IRGC yashambulia kampuni ya Kimarekani ya Oracle nchini Imarati
Apr 03, 2026 05:24Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kuwa: Limetoa kipigo kikali kwa Kampuni ya Kimarekani ya Oracle kufuatia mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mkewe.
-
IRGC yatungua ndege ya pili ya kivita ya Marekani aina ya F-35 katika anga ya katikati mwa nchi
Apr 03, 2026 04:45Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua ndege ya pili ya kisasa ya Marekani aina ya F-35 ikiwa katika anga katikati ya Iran kwa kutumia mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Kikosi cha Anga cha jeshi hilo.