-
Rais Pezeshkian aweka masharti ya mazungumzo na Marekani, 'hakuna vitisho, hakuna mashinikizo'
Feb 03, 2026 04:59Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema amemwagiza waziri wa mambo ya nje kuendelea na mazungumzo na Marekani, alimradi yafanyika katika mazingira ya kuheshimiana na yasiyo na vitisho.
-
Shamkhani: Mazungumzo ya Marekani yanaweza kuzaa matunda iwapo tu yataonyesha heshima, mantiki
Feb 03, 2026 04:40Afisa wa ngazi ya juu wa Iran amesema kuwa mazungumzo yajayo ya nyuklia na Marekani yanaweza kuwa na tija iwapo tu yatajiepusha na anga ya vitisho na madai yasiyo na mantiki, na kusisitiza kuwa Tehran haina nia ya kuhamisha nje ya nchi akiba yake ya urani iliyorutubishwa chini ya makubaliano yoyote.
-
Ripoti: Iran, Marekani kufanya mazungumzo ya nyuklia mjini Istanbul
Feb 03, 2026 04:23Iran na Marekani zinapanga kufanya duru mpya ya mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
'Hakuna Mmarekani atakayesalimika’: Mkuu wa Majeshi ya Iran asema vikosi vya jeshi viko tayari kulipiza kisasi
Feb 03, 2026 00:20Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa mahesabu yoyote ghalati ya maadui wa Jamhuri ya Kiislamu yatakabiliwa na jibu kali. Amesema kuwa Iran imejiandaa kikamilifu kwa makabiliano na kulipiza kisasi.
-
Iran yatahadharisha: Uvamizi wowote utakuwa na madhara makubwa kwa eneo zima la Asia Magharibi
Feb 02, 2026 10:35Iran imesema kuwa nchi za kikanda zinafanya juhudi za pamoja ili kuzuia vita kwa vile zinaelewa vyema kwamba hatua yoyote ya kijuba dhidi ya Tehran itakuwa na madhara makubwa kwa eneo zima.
-
Ripoti: Rais Pezeshkian aagiza kuanza upya mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
Feb 02, 2026 10:28Rais Masoud Pezeshkian ameagiza kuanza upya kwa mazungumzo kati ya Iran na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
Iran kuzindua satelaiti mpya na kituo cha anga za mbali
Feb 02, 2026 10:14Iran inajiandaa kuzindua mafanikio yake mapya katika sekta ya teknolojia ya anga, ikiwemo kuzindua satelaiti iliyotengenezwa ndani ya nchi, picha za kwanza zilizopigwa na setilaiti yake ya hivi karibuni ya Paya, pamoja na kituo kipya cha anga za mbali, katika maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Anga za Mbali.
-
Kwa nini Iran inaamini kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika Ghuba ya Uajemi unazidisha mivutano?
Feb 02, 2026 09:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika kanda hii siku zote huwa sababu ya kushatadi mivutano.
-
Iran yaitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza
Feb 02, 2026 03:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa ili kukomesha mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
-
Washington Post: Iran ina uwezo wa kulenga kambi za kijeshi za Marekani
Feb 02, 2026 03:42Gazeti la Washington Pos limeripoti kuwa, Iran ina uwezo wa kulenga kambi za kijeshi za Marekani.