-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani haiwezi kukariri upumbavu wa huko nyuma
Jan 30, 2026 09:12Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema: "Vita vya siku 12 viliiweka Iran katika nafasi maalum na ya kipekee ya nguvu, na nina uhakika kwamba Marekani haiwezi kukariri upumbavu wa huko nyuma.
-
Rais Pezeshkian: Iran haitaanzisha vita, lakini itatoa jibu kali kwa uvamizi wowote dhidi yake
Jan 30, 2026 08:12Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haikaribishi vita, lakini itatoa jibu kali na la haraka kwa uvamizi wowote dhidi yake.
-
Spika wa Bunge la Iran: Jeshi la SEPAH ndio mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi
Jan 30, 2026 07:55Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesema kuwa, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) ni mojawapo ya vikosi imarai na vyenye ufanisi zaidi vya kupambana na ugaidi duniani.
-
'Hakuna vita vya masaa 2', yasema Iran ikiapa kutoa jibu la haraka kwa uchokozi wa US au Israel
Jan 30, 2026 04:17Jeshi la Iran limetoa onyo kali kwamba kitendo chochote kipya cha uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kitakabiliwa na jibu kali na la haraka, likisisitiza kwamba uzoefu na tajiriba ya vita vya Juni vimebadilisha kimsingi muelekeo wa kijeshi wa Iran na kanuni zake za makabiliano.
-
Araqchi: Vikosi vya Jeshi la Iran vinashikilia kitufe cha kufyatua risasi
Jan 29, 2026 23:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi, ameandika kwenye chaneli ya X, akijibu vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba: "Vikosi vyetu vya jeshi vimeshikilia kitufe cha kufyatua risasi na viko tayari kujibu haraka na kwa kina uchokozi wowote dhidi ya ardhi, anga na maji ya nchi hii."
-
Qalibaf: Iran haipingi mazungumzo, inataka diplomasia ichukue mkondo wake
Jan 29, 2026 23:42Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa Tehran haipingi msingi wa mazungumzo na diplomasia ambao lazima uwe wa aina yake na wenye mlingano kwa mujibu wa kuheshimiana pande mbili.
-
Iran na Saudia katika mkondo wa ushirikiano na matarajio ya kuleta usalama, ustawi na umoja baina ya Waislamu
Jan 29, 2026 23:17Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed Bin Salman na kusisitiza kwamba: muelekeo inaofuata Iran katika uga wa kikanda umejengwa juu ya msingi wa udugu wa Kiislamu, kustawisha uhusiano wa kirafiki, na kupanua mashirikiano na nchi za Kiislamu.
-
Droni 1,000 za kimkakati zakabidhiwa kwa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jan 29, 2026 09:55Ndege elfu moja zisizo na rubani za kimkakati zimejiunga na vikosi vinne vya jeshi kwa amri ya Meja Jenerali Amir Hatami, Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
'Ni rahisi - Trump ameshindwa': Wanamtandao wakosoa vitisho vya kijeshi vya Marekani dhidi ya Iran
Jan 29, 2026 09:35Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamekosoa vitisho vya kijeshi vya mara kwa mara vya Rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya Iran, ambapo hivi karibuni alitishia Iran kwa kisingizio cha miradi ya nyuklia ya nchi hiyo. Wamesema kuwa Israel inaiburuta Washington katika vita vingine kwa niaba ya serikali ya Tel Aviv.
-
IRGC: Iran haitaanzisha vita, lakini ndiyo itakayoamua vitakavyoisha
Jan 29, 2026 03:49Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema Iran ndiyo inayoshikilia mpini na nafasi ya juu katika kuamua hatima ya vita vyovyote tarajiwa, likisisitiza kwamba kutumia mashinikizo ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hakujazaa matunda.