-
Waziri Mkuu wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ajiuzulu
Feb 26, 2024 07:53Waziri Mkuu wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mohammad Ashtiyah, amejiuzulu wadhifa wake huo.
-
Kuendelezwa mauaji ya halaiki ya jeshi la Israel katika maeneo tofauti ya Ukanda wa Gaza
Feb 26, 2024 03:45Wapalestina wengine wameuawa shahidi kufuatia mashambulizi ya anga na mizinga ya jeshi katili la Israel linaloendeleza mauaji ya kimabari katika maeneo tofauti ya Ukanda wa Gaza.
-
OIC yailaani Israel kwa mauaji ya kimbari ya raia Wapalestina Gaza
Feb 26, 2024 03:15Mawaziri wa habari wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wamelaani "ukandamizaji wa kimfumo na mauaji ya kimbari ya raia wa Palestina" huko Gaza na Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
-
Euro-Med: Israel imeifanya njia ‘salama’ kuwa mtego wa kuua wakimbizi wa Gaza
Feb 25, 2024 23:34Shirika la kutetea haki za binadamu lenye makao yake makuu mjini Geneva limesema utawala wa Israel umegeuza njia inayodaiwa kuwa salama, ambapo watu wa Ukanda wa Gaza wanaweza kusafiri kuelekea kusini mwa eneo hilo, kuwa mtego wa kuwaua Wapalestina waliokimbia makazi yao.
-
Iran: Mataifa ya Kiislamu yachukue hatua za kuwanga mkono watu wa Gaza
Feb 25, 2024 07:43Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema mataifa yote ya Kiislamu yana wajibu wa kuwaunga mkono Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kuwapa usaidizi wa kivitendo ili kuwafanya waondokane na hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili.
-
Ngome za Israel zanyeshewa kwa 'mvua' ya makombora ya Hizbullah
Feb 25, 2024 06:25Wanajihadi wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebaon wameshambulia kwa makombora na maroketi kambi kadhaa za utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu usiku wa kuamkia leo.
-
Askari wasiopungua sita za Kizayuni waangamizwa na Wanamuqawama wa Palestina Khan Yunis
Feb 24, 2024 23:09Brigedi za Mujahidina wa Palestina zimetangaza kuwa zimewaangamiza wanajeshi kadhaa wa Kizayuni katika operesheni ya karibuni zaidi iliyotekelezwa na Muqawama wa Palestina magharibi mwa Khan Yunis.
-
Qatar yalaani mbele ya Majaji wa ICJ undumilakuwili unaofanywa katika sheria za kimataifa
Feb 24, 2024 23:09Qatar imeiambia Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwamba inapinga kile ilichokiita "undumilakuwili" na uwepo wa nyuso mbili, kwa sheria za kimataifa kutumika kwa baadhi, na kutotumika kwa baadhi ya wengine. Qatar imetoa kauli hiyo wakati wa kusikilizwa kesi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Kuvunjwa UNRWA; Mpango wa upotoshaji wa Netanyahu kwa ajili ya kuepa kushindwa
Feb 24, 2024 22:57Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amewasilisha kwa kile kilichotajwa kama Baraza la Mawaziri la Usalama la utawala huo mpango wa kulivunja Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) ili kuepa taathira za kushindwa mbele ya makundi ya muqawama ya Palestina katika kipindi baada ya vita.
-
Hamas: Ndege za Marekani zinashiriki mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Wapalestina Gaza
Feb 24, 2024 07:15Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema Marekani inatumia ndege za ujasusi katika Ukanda wa Gaza ili kusaidia katika vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya eneo hilo.