-
Mamilioni ya Wayemen waandamana katika mshikamano na Wapalestina wanaodhulumiwa Gaza
Feb 24, 2024 07:14Mamilioni ya Wayemeni wameandamana kote katika nchi yao kuonyesha uungaji mkono kwa Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, ambao wanakabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari vya utawala dhalimu wa Israel.
-
Ehud Olmet: Lengo la Netanyahu ni kuwapora Waislamu Msikiti wa Al Aqsa
Feb 24, 2024 02:48Waziri mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni amefichua kuwa, Ghaza ni hatua ya mwanzo tu ya baraza la vita la Benjamin Netanyahu kwani lengo lao kuu ni kuwafukuza Wapalestina wote, huko Ghaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, kuwapokonya Waislamu Msikiti wa al Aqsa na kuziingiza ardhi hizo ndani ya maeneo mengine yaliyopachikwa jina la Israel.
-
Idhini mpya ya Uingereza kwa Israel ya kuendeleza mauaji ya umati dhidi ya wananchi wa Palestina
Feb 23, 2024 04:57Uingereza ambayo ni moja ya waungaji mkono wakuu wa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina sambamba na Ujerumani na Marekani, hivi sasa imetoa idhini mpya kwa Israel ya kuendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina hasa wa Ghazza. Madola hayo matatu ya Magharibi ndiyo yaliyoko mstari wa mbele katika kuusheheneza silaha hatari utawala wa Kizayuni ili uzidi kuua raia wa Palestina hasa wanawake na watoto wadogo.
-
Ukosoaji wa Qatar dhidi ya Israel; Rekodi mpya ya waandishi wa habari waliouawa Gaza
Feb 23, 2024 00:01Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Qatar, Lolwah Al-Khater, ameeleza masikitiko yake kwamba: Israel imeweka rekodi ya kushambulia na kuua waandishi wa habari.
-
Iran yaitaka ICJ isitishe ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Palestina
Feb 23, 2024 00:01Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya sheria na kimataifa ameitaka Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iulazimisha utawala wa Kizayuni uhitimishe sera yake ya kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
HAMAS: Kimbunga cha al-Aqsa kimevuruga njama za US katika eneo
Feb 23, 2024 00:00Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyofanywa na makundi ya muqawama ya Ukanda wa Gaza ilisitisha njama za Marekani za eti kulifinyanga eneo la Asia Magharibi na mustakabali wake.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia bandari ya Israel, meli ya mizigo ya Uingereza, na meli ya kivita ya Marekani
Feb 22, 2024 23:59Vikosi vya jeshi la Yemen vimetangaza kutekeleza operesheni tatu za kijeshi ambapo ya kwanza imelenga bandari ya Eilat inayokaliwa na Israel ya pili meli ya mizigo ya Uingereza katika Ghuba ya Aden na ya tatu meli ya kivita ya Marekani katika Bahari Nyekundu kwa kutumia makombora ya balestiki na ndege zisizo na rubani.
-
Hizbullah ya Lebanon yazitwanga kwa makombora kambi nne za Wazayuni
Feb 22, 2024 08:02Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon umetangaza kuwa, wanamapambano wa Hizbullah wameshambulia kwa makombora kundi la wanajeshi vamizi wa Israel katika kambi kadhaa tofauti za kijeshi za utawala wa Kizayuni.
-
"Hali ngumu" ya utawala wa Kizayuni katika vita na Hizbullah ya Lebanon
Feb 22, 2024 06:42Vyanzo vya habari vya Kiebrania vimeonya juu ya hali ngumu itakayoikabili Israeli ikiwa itaanzisha vita dhidi ya Lebanon na uwezekano wa kuangamia maelfu ya Waisraeli, kufuatia vitisho vya mara kwa mara vya maafisa wa Israeli dhidi ya Lebanon na Hizbullah.
-
Hamas yalaani muswada wa Knesset unaopinga kuasisiwa nchi huru ya Palestina
Feb 22, 2024 03:52Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) jana ililaani muswada wa bunge la Israel (Knesset) wa kutoitambua rasmi nchi huru ya Palestina.