-
Hizbullah yazima uvamizi wa kijeshi wa Israel kusini ya Lebanon
Jan 22, 2024 03:59Wanajihadi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wametibua uvamizi wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu, huku ngome za utawala huo ghasibu zikiendelea kulengwa kwa makombora ya kundi hilo la muqawama, likiwa ni jibu kwa mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Shambulio la Oktoba 7 ilikuwa "hatua ya lazima" dhidi ya ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel
Jan 22, 2024 00:17Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, shambulio la tarehe 7 Oktoba 2024 dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel lilikuwa "hatua ya lazima" dhidi ya ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala huo dhalimu katika maeneo ya Palestina.
-
Wazayuni washangazwa na uwezo mkubwa wa HAMAS wa kuzalisha silaha
Jan 21, 2024 23:29Utawala wa Kizayuni umelazimika kukiri kuwa umeshangazwa sana na jinsi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ilivyo na uwezo mkubwa wa kuzalisha silaha ndani ya Ukanda wa Ghaza ambao umezingiwa kila upande kwa miaka mingi.
-
Mapendekezo ya Iran kwa ajili ya amani ya kudumu huko Palestina yawasilishwa NAM
Jan 21, 2024 23:27Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Mokhber, amewasilisha mapendekezo ya Iran kwa ajili ya kutatua suala la Palestina katika mkutano wa 19 wa Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) unaofanyika Kampala, nchini Uganda.
-
Waliouawa shahidi Gaza wapindukia 25,000, Israel yaendeleza mashambulizi ya kinyama
Jan 21, 2024 10:09Maafisa wa Palestina katika Ukanda wa Gaza wametangaza kuwa, wakati vita angamizi vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza vimeingia katika siku yake ya 107 leo, hadi sasa Wapalestina 25,105 wameshauawa shahidi na 62,681 wamejeruhiwa.
-
Marekani: Israel imeshindwa kufikia lengo la vita, HAMAS ingali iko imara, ina silaha za kutosha
Jan 21, 2024 09:18Mashirika ya intelijensia ya Marekani yamesema, idadi ya vifo vya wapiganaji wa harakati ya HAMAS vilivyotokana na uvamizi unaoendelea wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza haifikii lengo la utawala huo la kulitokomeza kundi hilo la muqawama wa Palestina.
-
Wanamuqawama wa Iraq wakishambulia kituo cha jeshi la Marekani kwa maroketi na makombora 40
Jan 21, 2024 07:56Vikosi vya Muqawama wa Iraq vimekishambulia kwa maroketi na makombora 40 kituo cha wanajeshi vamizi wa Marekani cha A'inul-Assad kilichoko kwenye mkoa wa Al-Anbar.
-
Mapigano makali kati ya wanamuqawama wa Palestina na wanajeshi wa Kizayuni magharibi mwa Gaza
Jan 21, 2024 04:13Vyombo vya habari vya Palestina leo Jumapili vimeripoti mapigano makali kati ya vikosi vya makundi ya muqawama na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel magharibi mwa mji wa Gaza.
-
Sayyid Nasrullah: Gaza ni nembo ya umoja wa damu, silaha, medani na lengo la Umma wa Kiislamu
Jan 20, 2024 23:10Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah ametuma ujumbe katika Mkutano wa 12 wa Kimataifa wa "Gaza; Nembo ya Muqawama" na kusisitiza kuwa Gaza leo hii ni nembo ya umoja wa damu, silaha, medani na lengo la Umma wa Kiislamu.
-
Dunia yaendelea kupinga matamshi ya Netanyahu kuhusu taifa la Palestina
Jan 20, 2024 07:09Viongozi wa nchi mbalimbali duniani wameendelea kupinga na kukemea matamshi yalitotolewa na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, akipinga suala la kutambuliwa rasmi taifa huru la Palestina.